ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,655
Siku nzima ya leonimeshindwakusign in kwenye yahoo kwani mara zote nilizojaribu inagoma na kusema eti nimekosea ama ID yangu au passowrdwakati jana usiku tu nilikuwa nasign in kama kawaida na wala sikubadili passowrd.
Je wenzangu mmekutana na hilo atizo na je mmelitatuaje? Msaada wenu wakuu tafadhali!
Je wenzangu mmekutana na hilo atizo na je mmelitatuaje? Msaada wenu wakuu tafadhali!