Jamani yahoo imegoma, vipi wenzagu?

Jamani yahoo imegoma, vipi wenzagu?

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,655
Siku nzima ya leonimeshindwakusign in kwenye yahoo kwani mara zote nilizojaribu inagoma na kusema eti nimekosea ama ID yangu au passowrdwakati jana usiku tu nilikuwa nasign in kama kawaida na wala sikubadili passowrd.

Je wenzangu mmekutana na hilo atizo na je mmelitatuaje? Msaada wenu wakuu tafadhali!
 
Ni kweli nadhani hilo tatizo limetukuta wengi, mimi nimeendelea kujaribu mpaka ikakubali lakn nlikuwa na mwenzangu yeye yake imekataa kabisaaa
 
Ni kweli nadhani hilo tatizo limetukuta wengi, mimi nimeendelea kujaribu mpaka ikakubali lakn nlikuwa na mwenzangu yeye yake imekataa kabisaaa

Hakika ni mambo ya mtandao tu! Na tusishangae sana kwani mambo ya kawaida tu! Try again My Dear!
 
Hata mie kwangu haikubali...nadhani Illuminati na Freemason wako kazini
 
Jitahidi kujaza email na password kwa makini.
 
Back
Top Bottom