cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 499
Ndiye yule ambaye alifanya mtihani wa form 4 mwaka 2009 pale Dae es salaam christian Seminary.
Anajitahidi inabidi apigwe msasa zaidi katika tasnia ya mziki atabamba sasa.
kumbe bado ni mdogo sana!
nakubaliana na wewe kuwa atabamba kwani nimegundua kitu kimoja baada ya kutizama hizi nyimbo zake,she is trying to be herself,yuko original sijaona kama anajaribu kumuiga mwanamuziki mwingine,wala hana wacheza show(sijui mastage show) na wala hajafata ile trend ya KISAUZI inayoigwa na magwiji wote wa injili!
kama utakumbuka rose muhando moyo wangu aliiga kwa malope na hadi leo anaiga miondoko ya kisauzi!
Huyu binti kabakia kinyumbani maana kuna mtu ananiambia hapa eti huu wimbo wakuchangamka ni miondoko ya asili ya Tanzania WAGOGO.
USHAURI WANGU KWA HUYU BINTI-
Endelea kufanya muziki ukiongozwa na ubunifu wako halisi usimuige mtu,maana waimbaji wote wa injili wanaigana kuimba masebene!
Muimbie Mungu katika roho na kweli naye atakuepusha na AIBU YA SCANDAL ZA MAGAZETI YA SHIGONGO!
nyimbo zake zimenibariki!
1.) YouTube - EDINA KIBOMA- KIMBILIO LA WANYONGE
Katika pita pita zangu youtube nikisikiliza nyimbo za injili nikakutana na huu wimbo(1.),kweli umenitoa machozi,nadhani huu ni wimbo unaosikitisha KULIKO NYIMBO ZOTE ZA KUSIKITISHA ZA INJILI!
baada ya kuusikiliza nimejikuta nikitamani kumfahamu huyu dada kwa kirefu!
EDINA KIBOMA ,nahitaji kumfahamu kwa kirefu!(she is beautful too,I think she is the most beautful Gospel singer in Tanzania(in my eyes))
Naomba mwenye taarifa zake zaidi anipe na nyimbo zake zinapatikana wapi ninunue!
lav you all!
christina Shusho kwakweli ni kipenzi cha wengi, i love har, ukisikiliza nyimbo zake unapata upako fulani.
i love christina shusho pia!nampenda sana huyu dada!
Dada angalia vizuri. Shusho is more cute. Itabidi tuombe watu wapige kura sasa.
Yeah, Beatrice Muhone nyimbo zake ni nzuri pia. Ila tu umaarufu naona ulimzidia akaanza kutoka nje ya mstari. Mwangalie vizuri hata uso wake unaanza kuonyesha kuzeeka.
you are damn rightDada angalia vizuri. Shusho is more cute. Itabidi tuombe watu wapige kura sasa.
Una uhakika???Disko la mungu sio!.. visusio vya mapadri hivi:becky::becky:
Disko la mungu sio!.. visusio vya mapadri hivi:becky::becky: