toka nikufahamu leo ndo umeongea la maana...lol
muwe mnashaurianakama hivi aisee....sio mtu anapanda kitandani na skin tight
halafu tukitafuta nyumba ndogo,ugomvi lol
The boss wewe unashauri je kuhusu night dress? mbona ndio huwa zinakuwa na nakshinakshi jamen..sasa naked kabisa si inakinaisha ?
Hahaha!!! Wewe banaa
Mshukuru Mungu wako kwa mafanikio alokujalia kwenye ndoa yako na hata kumbadilisha mumeo! I wish u the best of happiness!