hivi jamani si kauliza tu uuuuuuu ili ajue
kama na yeye anahusika au amebajetiwa this season ajue
wagosha na wangima sasa yeye akae tu hajui
lolote mweh ,
bora ajue mapema na kama kujishuhulisha ajishuhulishe ili kujikimu
mweeeeeeeeeeeeehhh
hata mie napendaga kujua vipi haya maji mshikajia atayaweza? hhahhal