REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,961
Last edited by a moderator:
tukivaa magwanda tutakosa wanaume ndani... ndiyo maana tunavaa uchi ili tuvute wanaume
Kwani hujui kuwa kwenye shoo hizo hao wanawake wanatumikishwa tu. Mwenye uamuzi wa kuwafanya wavae hivyo mara nyingi ni mwanaume!
wao huwa wanajiona kama vivutio vya wageni. Ni aibu sana na dhihaka kwa mwanamke. Hata kwenye mabaa na mahotel utawakuta nusu uchi! Hivi mteja akihudumiwa umevaa vizuri haridhiki?
Mi nadhani wanaopigania haki za wanawake inabd washughulike na hili pia
Hii tabia ni ya watu wasiojiamini. Unataka kuniambia wanawake wanaovaa nguo za heshima wao hawapati wanaume??
nusu uchi!!!?hivi uchi ukoje miss chagga