The master
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 289
- 196
Nimekuwa nikiangalia live show mbalimbali za wasanii wa muziki na hata fani nyingine za usanii na kujiuliza maswali mengi sana juu ya hawa wanawake.
Siku zote wacheza show wa kike wamekuwa wakivaa nguo ambazo zinaonesha sehemu za miili yao ambazo ktk mazingira ya kawaida hawawezi kuvaa hivyo, tena wakati mwingine wanakuwa sawa na mtu aliye uchi kabisa. Wakati huo wanaume wameva nguo nzuri tena wanapendeza na wanaonekana smart.
Swali kwa wanawake je, tatizo ni nini mpaka mnacheza uchi wakati wanaume wanacheza wakiwa wamevaa nguo za heshima? Je, ni kutojielewa kama binadamu au ni nini?
Siku zote wacheza show wa kike wamekuwa wakivaa nguo ambazo zinaonesha sehemu za miili yao ambazo ktk mazingira ya kawaida hawawezi kuvaa hivyo, tena wakati mwingine wanakuwa sawa na mtu aliye uchi kabisa. Wakati huo wanaume wameva nguo nzuri tena wanapendeza na wanaonekana smart.
Swali kwa wanawake je, tatizo ni nini mpaka mnacheza uchi wakati wanaume wanacheza wakiwa wamevaa nguo za heshima? Je, ni kutojielewa kama binadamu au ni nini?