Jamani wanaume

let me be open kwenu nyie wanaume hakika mnawasababishia wanawake dhambi nyingi asilimia kubwa ya dhambi za mwanamke ni mwanaume uzinzi ni mwanaume kutoa mimba mwanaume ni chanzo kumlaani mungu kua anakuonea bcz of mwanaume na mwanaume pia anaumia ila nikwa muda mfupi na kusahau lkn mwanamke hasa hau ilo naomba mjue hata akae miaka arobaini hasahau maumivu uliomsababishia ndio maana mnawaona hawanyamazi kulia hawachoki kuongea stress zao hawakauki makanisani mbaya zaidi wachawi wengi na watumwa wa ushirikina ni wanawake ukiuliza anahangaikia mwanaume jamani wanaume punguzeni viburi dharau na ukosefu wa kufikiri mtakua mandondocha yanayo tembea barabarani maana kila mwanamke unaetembea nae anataja jina lako mbele za mungu na kila unaetembea nae anataja jina lako kwa mganga jioneeni huruma yatamikuta makubwa jamani
 
inategemea huyo mwanaume na huyo msichana walikuwa kwenye mazingira gani. kama walikubaliana wakaenda gesti hilo sasa ni tatizo. ila kama walikuwa wanaishi kwenye nyumba moja na mara nyingi kubaki wao wenyewe mmmh linaweza kumtokea mwanaume yeyote mroho!!
 


hapo sasa sio wanaume ila ni watu maana inaelekea walielewana na hajabakwa mtu
 
Kuchapiwa ni Mambo ya Ndani... Diamond
 
Hili nalo ni swali la kuuliza washawasha..maana siku izi tunaenda wenyewe hoteln kwa ridhaa yetu tunadai tumebakwa...
umeona eh! ndio maana nikauliza isije kuwa jamaa wanamchongea mchongo ili wampige hela.
Nalog off
 
Uaminifu kwenye mapenzi ya siku hizi umepungua ama hakuna kabisa
 
yaah ni kweli ndio maana wamejaa kwenye makanisa na majumba ya maombi kutafuta relief. wanawake wengi wanastress za maisha hasa walioolewa.

Tumeumbwa hivyo...sisi tunaongozwa na hisia zaidi...sio kila mwanamke anapolia ni kwa sababu ya stress...
Kwa mfano mama anaonana na mwanae hawajaonana siku nyingi analia hiyo nayo stress...
Karibu mamiss wote ninaowaangalia wanapopokea habari za ushindi wao machozi yanawatoka kwa furaha hiyo nayo stress.
Hayo ni mambo ya kibaiolojia bana...
Kwa vile wanaume hawalii hovyo haimaanishi hawana stress wanakufa tu na tai shingoni.
Wote wanawake kwa wanaume tuna stress zetu sema wenzetu nyie mna uwezo wa kuzificha na kuzishughulikia kwa namna tofauti na wanawake.
Kwa mfano mwanamke kagombana na mumewe anabaki hapo ndani analia au anaongea na marafiki zake wakati huo mwanaume kaenda baa anamalizia hasira kwenye bia kisha anafunga ukurasa na changudoa au nyumba ndogo.
 
Hakuna haja ya kuishi na house girl wala shemeji, all men are POLYGAMISTS by nature
 
Ila kuna haja ya kuishi na houseboy, gardener, driver wa wife, na gate keeper!!!! All women are SAINTS!!!!

Sure, yani ukiishi na mdogo wa mkeo aaagh majanga despite kuwa ni "tabia" ya mtu mazingira hua ni catalyst
 
Ila kuna haja ya kuishi na houseboy, gardener, driver wa wife, na gate keeper!!!! All women are SAINTS!!!!

Nimejib post yako huku sijasoma vzr, aagh noo! Ukiona mke wako anamtaka mdg wako wa kiume basi hatari(hatujazoea) ila visa vya madume ndio viko prominent
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…