eeebo! hakuna mtu anaoa demu bila kuonja.....apime kama bwawa au kisima......'Dadas ambao hawajamegwa.. Usikubali kumegwa kabla ya kuolewa, hata kama anaetaka kumega ni muoaji..USIMPE'. hii kitu ni special kwa MuMe!
Walikuwa wapenzi kwa muda wa mwaka1! wakaja kutofautiana na kutengana kwa mwaka mzima,kila mtu alishika lake, baadae wakakutana waka solve prblm zao wakarudiana, mapenzi moto moto tukatangaziwa uchumba tukaenda kula vinono, wakawa wanaishi pa1 kama wachumba wakiweka sawa mipangilio ya ndoa, kila mwanamke atakapomuuliza mchumbake kuhusu ndoa ataambiwa mwezi wa 6, mwezi wa9 mpaka leo hii
Kumbe kile kipindi walichokorofishana mwanaume alioa na ana ka bay gal kwao Mbeya! Jana ma frnd anani-call usiku kuniomba tuonane ajue anafanyaje na maisha. Kwenda anasema alipotoka job jioni alikutana na frnd wa huyo mchumbake ambae yupo Mbeya kikazi but amekuja likizo, ktk maongezi akamwambia "Hata kama uliaachana na jamaa but nyie mlikuwa wapenzi kutengana ni kitu cha kawaida kwanini hukuja kwenye harusi ya jamaa?"
Anasema nilisikia kuzimia, akam-call mchumbake awahi home wayaongee mchumbake akakubali kwamba kweli ameoa na blaa blaa kibao, analiaaa weee jamani mie nitafanyaje, jamani kwanini niliwaita kwenye engagement yangu ningejua ningefanya kimya kimya ili hii aibu inikute kimya kimya!....anafikiria ataawambia nini wazazi, atarudije home.. ata... ataa.. ataa..... mesenja kaleta balaaaaa.
Nimsaidieje?
Walikuwa wapenzi kwa muda wa mwaka1! wakaja kutofautiana na kutengana kwa mwaka mzima,kila mtu alishika lake, baadae wakakutana waka solve prblm zao wakarudiana, mapenzi moto moto tukatangaziwa uchumba tukaenda kula vinono, wakawa wanaishi pa1 kama wachumba wakiweka sawa mipangilio ya ndoa, kila mwanamke atakapomuuliza mchumbake kuhusu ndoa ataambiwa mwezi wa 6, mwezi wa9 mpaka leo hii
Kumbe kile kipindi walichokorofishana mwanaume alioa na ana ka bay gal kwao Mbeya! Jana ma frnd anani-call usiku kuniomba tuonane ajue anafanyaje na maisha. Kwenda anasema alipotoka job jioni alikutana na frnd wa huyo mchumbake ambae yupo Mbeya kikazi but amekuja likizo, ktk maongezi akamwambia "Hata kama uliaachana na jamaa but nyie mlikuwa wapenzi kutengana ni kitu cha kawaida kwanini hukuja kwenye harusi ya jamaa?"
Anasema nilisikia kuzimia, akam-call mchumbake awahi home wayaongee mchumbake akakubali kwamba kweli ameoa na blaa blaa kibao, analiaaa weee jamani mie nitafanyaje, jamani kwanini niliwaita kwenye engagement yangu ningejua ningefanya kimya kimya ili hii aibu inikute kimya kimya!....anafikiria ataawambia nini wazazi, atarudije home.. ata... ataa.. ataa..... mesenja kaleta balaaaaa.
Nimsaidieje?
eeebo! hakuna mtu anaoa demu bila kuonja.....apime kama bwawa au kisima...........rakili hiri rijanaume rimeniuzi kweli kweli......na hana huruma na mwenzie yaani mpaka anakubali kufanyiwa party ya engegement kumbe keshaoa anaunyuti tu...........ushauri huyo dada aachana na kijamaa hicho kwanza inaonekana ni mpenda miteremko...
Hao nashauri nyie wakinadada muwaroge tu...akatike kende zake......au mpini uamie mgongoni....imetokea S'wanga....jamaa alifunga breeeek mwenyewe akarudisha majeshiKungekuwa na sheria ya mtu kama huyu kupandishwa kizimbani kwa kusema uongo na kutaka kufunga harusi nyingine wakati ana mke mwingine tayari huko Mbeya.
Kuna sehemu moja Moshi ukiwa unakwenda Atown ianaitwa kwa sadala.....basi pale madereva wakifika ni kuachia gear tu.....mterezoooo....thats name came from.....Huyo anapenda kutelemka kwa Sadalla!!
Hao nashauri nyie wakinadada muwaroge tu...akatike kende zake......au mpini uamie mgongoni....imetokea S'wanga....jamaa alifunga breeeek mwenyewe akarudisha majeshi
Kuna sehemu moja Moshi ukiwa unakwenda Atown ianaitwa kwa sadala.....basi pale madereva wakifika ni kuachia gear tu.....mterezoooo....thats name came from.....
....ial shem mie ni mmoja wapo napenda kwa sadala.....si unajua credit crunch sitaki shida.....hihihihihihihi
Walikuwa wapenzi kwa muda wa mwaka1! wakaja kutofautiana na kutengana kwa mwaka mzima,kila mtu alishika lake, baadae wakakutana waka solve prblm zao wakarudiana, mapenzi moto moto tukatangaziwa uchumba tukaenda kula vinono, wakawa wanaishi pa1 kama wachumba wakiweka sawa mipangilio ya ndoa, kila mwanamke atakapomuuliza mchumbake kuhusu ndoa ataambiwa mwezi wa 6, mwezi wa9 mpaka leo hii
Kumbe kile kipindi walichokorofishana mwanaume alioa na ana ka bay gal kwao Mbeya! Jana ma frnd anani-call usiku kuniomba tuonane ajue anafanyaje na maisha. Kwenda anasema alipotoka job jioni alikutana na frnd wa huyo mchumbake ambae yupo Mbeya kikazi but amekuja likizo, ktk maongezi akamwambia "Hata kama uliaachana na jamaa but nyie mlikuwa wapenzi kutengana ni kitu cha kawaida kwanini hukuja kwenye harusi ya jamaa?"
Anasema nilisikia kuzimia, akam-call mchumbake awahi home wayaongee mchumbake akakubali kwamba kweli ameoa na blaa blaa kibao, analiaaa weee jamani mie nitafanyaje, jamani kwanini niliwaita kwenye engagement yangu ningejua ningefanya kimya kimya ili hii aibu inikute kimya kimya!....anafikiria ataawambia nini wazazi, atarudije home.. ata... ataa.. ataa..... mesenja kaleta balaaaaa.
Nimsaidieje?
Pole sana.. Je ulishawahi kutenda/kumtenda any? if Yes wewe pia wa kazi gani?
Kosa ni kukubali kumegwa kabla ya kuolewa!.. why umegwe before marriage?...., sometimes binti anahamia kwa men before....
'Dadas ambao hawajamegwa.. Usikubali kumegwa kabla ya kuolewa, hata kama anaetaka kumega ni muoaji..USIMPE'. hii kitu ni special kwa MuMe!
Haina jinsi ni kuachana nae huyo jamaa,kuna watu wengi tu wanavunja uchumba kwasababu mbalimbali. Tangia hapo,huyo rafiki yako asiwaze kuwaridhisha watu wengine watamwonaje,yeye ana tatizo hilo alitatute kwa kumwachia huyo jamaa akakae na familia yake. Usikute na mke wa Mbeya hajui kama jama ana mchumba mwingine tena pati kubwa jamani si kudhalilishana huko?!..
Hapo inaonesha jinsi gani unavyoweza kuwa na mpenzi mmekaa hata miaka 5 na usijue ukweli kuhusu maisha yake. Kama alikuwa anakaa na huyo rafiki yako kila siku na manjonjo yote hadi uchumba. Lazima kitakuwa kimemuumiza sana!
Amwache huyo jamaa!
Sharing is caring but not mapenzi tena ukijua inaumaa!
ni wakristo!anahofia ile engagement party 2liyokula itakuwaje, ataeleza vipi home kwamba alikaa na lim2 kwa cku zote hizo bila kujua kama ameoa au laa! swali langu kwake jana lilikuwa""mbona ulisema uliendaga mbeya kwa wazazi wa mchumba kutambulishwa sasa ilikuwaje tena?...kumbe alitudanganya hakufikaga huko but alisema alikwenda.
mbona mnamhukumu "mpambanaji" bila kumuangalia huyo dada na "fix" aliyowapiga wenzake kwa kudai amefika kwa wazazi wa mchumba?
huyo dada alijua kinachoendelea ila alitaka kuamini kwamba sio kweli
kwamba mchumba ana mke mbeya.
nyamayao mshauri shosti wako aendelee tu kuwa nyumba ndogo kwani yaelekea
amependa.
alivyonielezea kuhusu hiyo ishu ni kwamba kweli walikubaliana na mchumba waende mbeya na akaomba na ruhusa job, mchumba akasubiri mwenzie mpaka akaomba ruhusa na kila kitu cku ya kuamkia safari mchumba akaumwa na ""malaria ya ghafla"" so hawakuweza kwenda but yeye alijickia vbya sana mchumbake kila cku kumdanganya mara hivi mara vile akabidi tu atuambie na sie kuwa alienda! mwanaume alipoona ruhusa ya mchumba imeisha nae alipona ""ghafla""
Nyamayao kila wakati visa unavyoleta utata mtupu: hao marafiki zako vipi, vicheche au wana mtindio wa ubongo? Kwani utatuzi wa visa hivyo ni mwepesi "Usifikirie watu watasema nini au watanionaje bali simama wewe kama wewe kwa maslahi yako. Plz control your destiny".