kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Inauma sana watu wa Kirua Magharibi kumchagu Tesha.
Jamani naomba yaandaliwe mazingira ya kupata ile kata. Iwekwe mikakati kufungua Matawi ya kutosha ili kuiongezea Chadema nguvu.
Matawi ya chama yaliyokufa yafufuliwe. Hata ikiwezekana iandaliwe warsha ya ukusanyaji wa hela za kuing'oa CCM Kirua.
Kufanya mikutano ya hadhara; M4C.
Achaguliwe mgombea mwenye ushawishi na anayetoka maeneo ya Iwa, Nduoni au Kanji ambayo pia yana wapiga kura wengi.
Tujadili.
Naomba na wewe uongezi njia ambazo inabidi zitumike kufanikisha KV for Chadema.
Jamani naomba yaandaliwe mazingira ya kupata ile kata. Iwekwe mikakati kufungua Matawi ya kutosha ili kuiongezea Chadema nguvu.
Matawi ya chama yaliyokufa yafufuliwe. Hata ikiwezekana iandaliwe warsha ya ukusanyaji wa hela za kuing'oa CCM Kirua.
Kufanya mikutano ya hadhara; M4C.
Achaguliwe mgombea mwenye ushawishi na anayetoka maeneo ya Iwa, Nduoni au Kanji ambayo pia yana wapiga kura wengi.
Tujadili.
Naomba na wewe uongezi njia ambazo inabidi zitumike kufanikisha KV for Chadema.