Kwenda moshi ni lazima mkuu kuwa na subira kidogo,ila abiria watapungua kwani ATCL,dast jet zitawapunguzia abiria na magari binafsi nayo yameibgezeka sana mkuu.Aidha muda wa kwenda moshi ni kuanzia tarehe 15 hivi so kuwa mpole.
Kuna mtu kasema tumeokoka na hatunywi tena mbege na kisusio duuuuu hata iwe vipi asili ni asili tuu hahahaaaaa
Kuna mtu kasema tumeokoka na hatunywi tena mbege na kisusio duuuuu hata iwe vipi asili ni asili tuu hahahaaaaa