masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,886
- 13,184
View attachment 61370
Wakuu katika pita pita zangu mitaani nikakuta hiki kituko mitaa ya Mbezi Beach huko.
Ni dhahiri jamaa katika "kuokoa" matumizi hakutumia mtaalam kumchorea na hata kujenga, na paa likatoka ndivyo sivyo.
Nina uhakika kuwa dari hilo linavuja na itabidi jamaa alibomoe ili likae kimpangilio wa nyumba yenye hadhi.
Wakuu tusikwepe gharama za wahandisi na wabunifu tukifikiri fundi anatosha, kwa kifupi huyu jamaa pamoja na idea nzuri kala hasara.
Wakuu katika pita pita zangu mitaani nikakuta hiki kituko mitaa ya Mbezi Beach huko.
Ni dhahiri jamaa katika "kuokoa" matumizi hakutumia mtaalam kumchorea na hata kujenga, na paa likatoka ndivyo sivyo.
Nina uhakika kuwa dari hilo linavuja na itabidi jamaa alibomoe ili likae kimpangilio wa nyumba yenye hadhi.
Wakuu tusikwepe gharama za wahandisi na wabunifu tukifikiri fundi anatosha, kwa kifupi huyu jamaa pamoja na idea nzuri kala hasara.