mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Bashite ni 2iC nchini in practice!
Kama haziko sahihi mbona wahusika hawakanushi na kutupa zilizo sahihi? Kwa mfano polisi hawajakanusha kuwa wanamtafuta! TRA hawajakanusha kuwa zile kadi za Gari ya Tanga Petroleum inayomilikiwa na mtuhumiwa wa madawa iliyopaki kwa Bashite ni fake! Hapo haushangai? Wala Bashite hakanushi kuwa anatumia Gari ya mtuhumiwa wake wa madawa! Haushangai tu?Info nyingi anazopewa huwa haziko sawa ila kwa kua ameshaaminika basi watu wanaamini kua ni za kweli lakini nyingi wanamuingiza chaka!! Na kwa mwenye akili nzuri na timamu sio wa kumsapoti Mange maana amekua akitukana hata wenye kumzidi umri tena matusi ya nguoni kabisa.Ningemsapoti sana kama angelikua anatumia lugha nzuri kuwasilisha hoja zake lakini kwa lugha anazotumia ninaamini sio mtu wa kujiheshimu na ana chuki binafsi.Na atabaki tu kupost kwenye mitandao na hakuna kitu kitakachofanyika na watu mtamaliza MB zenu bure jamani.Haya ni maoni yangu na ndo ninachoamini.
Hapo kwenye lugha zisizo na staha .......sema mange anatatizo moja akikasirika anatumiaga lugha kali sana na zisizo na staha.....
ila akitulia kwenye hoja za msingi utampenda........
Aliwataja wanaodaiwa mapapa kwa lengo la kuwatisha ili ajinufaishe binafsi! Ameshawachomoa michuma ya nguvu kina Tanga petroleum na ushahidi wa picha ya mchuma ukiwa umepaki kwa "mpambanaji wa madawa" na kadi ya Gari wote tumeiona na hakuna aliyethubutu kukanusha!Hivi aliyewataja hadharani mapapa wauza unga sio shujaa na jasiri??? Hii ipo tz tu!
Anapoteza usingizi wake na kuweka akili yake kwenye anacho post mkuu...Hivi kweli nyie wanaume na wanawake mnaojitosheleza mnasadiki kweli Mange ni hero?? Hii nchi inamatatizo ndo maana viongozi na wenyewe wanfanya watakavyo.. Mange hana chakupoteza tena Huku kumbukeni hilo
kula like bukuuuuuuuuuSasa kuua watu ni sifa? Ni Nani ambaye hatakufa?
Sitetei matusi lakini natetea ujasiri wa kuanika nuruni mambo yaliyofanyika gizani!
Mambo kama aliyofanya Bashite pale clouds kuna watu hata hayo wanasema "ni siri ya sirikali" kisa eti kwa kuwa mhusika ni mteule kipenzi!
Mambo kama ya Bashite kutumia cheti fake hata hayo pia ni "siri ya sirikali" wahusika wooooooootttttttttttteeeeeee kimyaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Wanaoyaanika wanaonekana wabaya pamoja na kutoa ushahidi lakini kimyaaaaaa!
Ni mazingira hayo yanayowafanya watu wamwone Mange ni shujaa!.
Kwa mfano, kubandika namba ya Gari nyingine kwenye Gari nyingine ni kosa! Wahusika wapo pamoja na kupewa ushahidi lakini kimyaaaa! Hata kukanusha tu wameshindwa! Kisa, MTOTO wa mfalme haguswi!!!!!!!!!!
Tungeujua ukweli huu bila matusi ni nzuri zaidi, lakini ni Mara milioni tukaujua ukweli kwa lugha mbovu kuliko ukweli ukafichwa kwa lugha ya "staha" eti "ni mpambanaji wa madawa ya kulevya" wakati upambanaji kumbe ni kichaka cha kujifichia wakati "akifanya yake"! Mtashangaa tu michuma ya nguvu inapaki kwa mteule!
Mungu anaona!!!!!!!!! Mwaweza kuwanyamazisha wote lakini dhamiri zenu hamna ubavu wa kuzinyamazisha!!!!!!!!!! Kubwa kuliko yote hamwezi kumnyamazishaMungu!!!!!!!! Sema kikombe bado hakijajaa!!!!!! ndiyo maana inaonekana kama vile Mungu haoni!!!!!! Juweni kuwa subira ya Mungu inawavuta kwenye toba!!. Siku kikombe cha uovu kikijaa!!! ndipo mtakapojua kuwa kumbe Mungu alikuwa anaona!!!!!
mange tyako tuuu yule hana lolote
unadhani kuwa watu hawana habari wanazo sana ndo wanao mpa uyo mange wako
tatizo ni sheria mbovu wee iseme tuu kama uwendi kunyia debe
Rhoooo wanaume wa dar ni kwikwi hahaaaa mnaogopa nzi wakati mnauza utumbo? Maajabu hayaTuombe radhi. Kweli watz tunaweza tukawa na hero mtukanaji kama huyo?!
mtu mwenye akili timamu hawezi kumuita mange hero.. amtafutie jina lingine
Ivi ndugu unataka niende insta nikapost vitu kama anavyopost mange alaf niko tanzania hi hii iyo sheria ya mitandao katungiwa mbwa au mbuzi eeee
Tatizo ni sheria kandamizi boss unadhani tungekuwa huru hii leo pangetosh kwa yaliyo tokea ila kila mtu kafyata mkia sema ukanyie bede
Alafu mimi sio muwoga boss nasema chochote kile ambacho naona kiko sawa
Mange alianza kuwataja mapapa wauza unga toka enzi za jk, mpaka amewahi tishiwa bastola hapo dar.Hivi aliyewataja hadharani mapapa wauza unga sio shujaa na jasiri??? Hii ipo tz tu!
Alimtukana sana kipindi cha uchaguzi,,.Akianza kumtukana Manywele muendelee kumsifia hivohivo
..tumuombee kwa MUNGU (japo ni ngumu kiasili) asije pinduka na kusaliti kama ilivyo asili kwa MWANAMKE...!Leo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.
Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.
Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.
Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.
Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.
Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.
Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Huyu ni dada shujaa.hongera kwa kazi dada MangeLeo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.
Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.
Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.
Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.
Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.
Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.
Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
fa fa fa fa........ tulikua hatujui mengi but through mangeee ahahahahaMange ni nambaaa nyingineee Magogoni wanausoma mziki wake vilivyoo.,na badoo, mie saivi nahakikisha simu ina charge na bando baaassss...Mungu atupe uzima tu..somebody has to say banaa.,
Huyu Mange mbona wanamshobokea hivi huyu si fala mmoja tu. Akili ndogo domo limetepeta halina staha senge sana hili...Tuombe radhi. Kweli watz tunaweza tukawa na hero mtukanaji kama huyo?!
Ili iweje sasaKama upo nae pamoja mkuu weka full your identification na picha yako