Mbona wenye akili timamu wanamuita hero?mtu mwenye akili timamu hawezi kumuita mange hero.. amtafutie jina lingine
Mbona hawakuletei wewe wanampelekea mange?U know what doe it take to be a hero
Yaaan mtu anapelekewa maneno
Anaweka kwa mitandao ya jamii huku ana glass ya wine, miguu juu
Et hero
Kwel hao wanywa kahawa
Na maneno ya kahawa ni kahawani jaman
Yn itakua balaa kwetu yy anacheka kwa Trump..Mm hua napenda kile kipe ngele hua anasema Tanzania ni yetu sote,,,, sasa nawaza nayy Tanzania niyake,??,,kikinuka uku yy nae atapatwa?????... U jst pitty her
Sasa mwambie mange kimambi aje huku tz apambane sio kupiga kelele kwenye mitandao. Yy hana Cha kupoteza huku km anajiamn na haogopi ni vizuri aje apaze sauti yake. Maana wahenga walisema fimbo ya mbali haiuwi nyoka ati.
Hero= meLeo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.
Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.
Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.
Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.
Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.
Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.
Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Wewe umefanya nini kumzidi Mange? Id to fake mwenzio anatumia jina lake, dume surualiHivi kweli nyie wanaume na wanawake mnaojitosheleza mnasadiki kweli Mange ni hero?? Hii nchi inamatatizo ndo maana viongozi na wenyewe wanfanya watakavyo.. Mange hana chakupoteza tena Huku kumbukeni hilo
Mvuta bangi huwezi elewaTanzania ya viwanda ,,,mange ni hero duuh ,,hero wa wap hivi embu nikumbusheni !!
we nae,
Dahh ila Mange mzuri, nimekapenda bure...