Jamani tuhabalisheni!!

mtamanyali

JF-Expert Member
Dec 6, 2011
1,161
613
Hivi ni kweli serikali haijatuma pesa za kujikimu na nauli kwa walimu wapya? Mbona nasikia halmashauri zingine wamelipwa!
 
Hii kazi ya ualimu naiona mbayaa!
Ndugu yangu ndo hivyo wanafanya wanavyojisikia bila kujali utaratibu,
ukiwaona kwenye vyombo vya habari akina Kasimu majaliwa wanavyohadaa hiki kizazi,
sina hamu na hii kazi
 
Back
Top Bottom