TBC ishakufa kitambo mnayoiona ni TBCCCM
watarushaje mechi kama chama hakijaamua?[/QUOT
na pia hawana budget kwa ajili ya kuwaburudisha watz hawana kabisa jamani, wanayo budget ya kununulia maji ya washawasha ya kuwagea polisi, kutoa rambirambi akifariki msanii, ya kununua kanga, kofia na vitenge wakati wa uchaguzi, kupikisha pilau kama upendo wakati wa uchaguzi na duplication ya makaratasi ya kupigia kura kwa ajili ya kuongeza kura za ccm n.k nk