Mwanzo spika wa bunge letu Tanzania alisema majibu ama maelezo ya mheshimiwa mbunge wa Arusha Godbless Lema hatayatoa hadharani kwa sababu anatakiwa ayalete kwa maandishi ko zitakaa kamati zao kama kawaida yao na sasa kuna taarifa kwamba atayatoa hadharani tena sasa ni nini kinafanyika juu ya hili ni uoga ama? nisaidieni wana jamaiiii.