2 2simamesote Senior Member Jun 27, 2011 109 13 Sep 4, 2011 #22 CCM HAWANA TOFAUTI NA MLACHA, kuna siku uliandika hapa JF kua unagombea udiwani wa kata iliyo achwa wazi kwani ninyi wagombea hamjapewa ratiba?
CCM HAWANA TOFAUTI NA MLACHA, kuna siku uliandika hapa JF kua unagombea udiwani wa kata iliyo achwa wazi kwani ninyi wagombea hamjapewa ratiba?
kingxvi JF-Expert Member Feb 11, 2011 879 150 Sep 4, 2011 #23 sijaelewa hapa umeandika kulalamika,kutoa maoni au ni vipi?
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Sep 4, 2011 #24 Ngoja nipite labda nikirudi baadae somo litaeleweka.