Jamani nisaidieni jina la wimbo huu...

Jamani nisaidieni jina la wimbo huu...

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,851
Katika kile kipindi cha BANGO kinachorushwa na TBC ambacho kinahusu kuwakumbuka watu waliofariki kuna wimbo

huwa unaambatana na tukio hilo la kuwakumbuka wanzetu waliokwisha aga dunia, huu wimbo ukiusikiliza unafikirisha sana na wakati mwingine unaweza kulia machozi, naomba anayejua jina la wimbo huo anisaidie jina ili niutafute katika mtandao.
 
Katika kile kipindi cha BANGO kinachorushwa na TBC ambacho kinahusu kuwakumbuka watu waliofariki kuna wimbo

huwa unaambatana na tukio hilo la kuwakumbuka wanzetu waliokwisha aga dunia, huu wimbo ukiusikiliza unafikirisha sana na wakati mwingine unaweza kulia machozi, naomba anayejua jina la wimbo huo anisaidie jina ili niutafute katika mtandao.

Wimbo ni 'Gone Too Soon' wa Michael Jackson.
 
Katika kile kipindi cha BANGO kinachorushwa na TBC ambacho kinahusu kuwakumbuka watu waliofariki kuna wimbo

huwa unaambatana na tukio hilo la kuwakumbuka wanzetu waliokwisha aga dunia, huu wimbo ukiusikiliza unafikirisha sana na wakati mwingine unaweza kulia machozi, naomba anayejua jina la wimbo huo anisaidie jina ili niutafute katika mtandao.
Kile kipindi huwa kinasikitisha sana hasa wanapoonesha picha za watu mbali mbali waliotangulia mbele ya haki huku huo wimbo ukiwa kwa mbali kweli kina liza na wakati mwingine unaweza kushangaa wewe ni kwa vipi uko hai kama si kwa neema tu!
 
Unaitwa 'Wild Child' Umeimbwa na Enya/ Nina Album za huyu mama zote...anaimba nyimbo zenye mahadhi ya Classic/New Age
 
Unaitwa 'Wild Child' Umeimbwa na Enya/ Nina Album za huyu mama zote...anaimba nyimbo zenye mahadhi ya Classic/New Age

hakika na mimi nimeupata mkuu shukrani sana.
 
Back
Top Bottom