Jamani nimfanyeje huyu dada

Jamani nimfanyeje huyu dada

KingKipara

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
19
Reaction score
1
alikuwa mpenzi wangu miaka miwili iliyopita, akanitosa nikaendelea na maisha yangu Mungu si adhumani Jamaa kamvuruga akamzalisha mtoto mmoja akampiga chini,

karudi kwao kanikuta mi nipo tu sijaoa japo ninamrembo Wang tu bado tuna malengo!

tatizo anasumbua kuniomba msamaha kila siku ananisumbua kupiga simu sms kila saa nikambrock kabadili laini tena , keshaongea na demu Wangu Mara nyingi lakini wapi

huwa simjibu lakini sms zinaingia tu sio usiku sio mchana

tumeanza kugombana na dem Wangu kwa sababu ya Huyu Dada na mimi simtaki maana alinitosa vibaya kisa mi sina gari akaenda kwa mwenyewe nazo.
sasa nitumie njia gani
ananipasua kichwa jamani demu wangu kanuna tangu juzi sababu yake
 
Mwambie una ngoma, mnaishi kwa matumaini na demu wako, hatakusumbua tena!
 
Ungekuwa mtu mzima ningeshauri kitu kizuri sana....lakini unaonekana kuwa wewe bado mvulana..........
 
KingKipara huyo mwanamke obviously anataka kuharibu uhusiano wako....makusudi kabisa....

hamna sababu kwanini mwanamke wako asikuelewe. muonyeshe mwanmke wako kuwa we ni mwaminifu. awe na uhuru na simu yako. inabidi aelewe kuwa umejitahidi kumuepuka huyo mama. badili number. ikiwezekana badilisha makazi kabisa. kuna watu ni ving'ang'anizi wewe!!! lakini sikujua hadi wanawake!!!!!
 
Last edited by a moderator:
KingKipara huyo mwanamke obviously anataka kuharibu uhusiano wako....makusudi kabisa....

hamna sababu kwanini mwanamke wako asikuelewe. muonyeshe mwanmke wako kuwa we ni mwaminifu. awe na uhuru na simu yako. inabidi aelewe kuwa umejitahidi kumuepuka huyo mama. badili number. ikiwezekana badilisha makazi kabisa. kuna watu ni ving'ang'anizi wewe!!! lakini sikujua hadi wanawake!!!!!

Mkuu kubadili namba shauri ya mtu mmoja sio ishu.......huyo mbona rahisi sana kudeal nae.......kutaneni macho kwa uso tena ukiwa na huyo dem wako umwambie ukweli..........watu wanaong'ang'ania mapenzi wanashangaza sana.......
 
Last edited by a moderator:
heee, mbona ni rahisi tu. Sasa hapo ni kipi kinachokuumiza kichwa?
 
Mkuu kubadili namba shauri ya mtu mmoja sio ishu.......huyo mbona rahisi sana kudeal nae.......kutaneni macho kwa uso tena ukiwa na huyo dem wako umwambie ukweli..........watu wanaong'ang'ania mapenzi wanashangaza sana.......

Thumb up!!
 
KingKipara huyo mwanamke obviously anataka kuharibu uhusiano wako....makusudi kabisa....

hamna sababu kwanini mwanamke wako asikuelewe. muonyeshe mwanmke wako kuwa we ni mwaminifu. awe na uhuru na simu yako. inabidi aelewe kuwa umejitahidi kumuepuka huyo mama. badili number. ikiwezekana badilisha makazi kabisa. kuna watu ni ving'ang'anizi wewe!!! lakini sikujua hadi wanawake!!!!!

mie siwezi hama au kubadilisha number ya simu,unamwambia na unakuwa mkali,
 
Last edited by a moderator:
Mbona una sound kama unayapenda hayo anayo kufanyia? ivi kweli mwanamme unashindwa kumdhibiti X wako tena alokukimbia kwa mbwembwe zote? hujamuamulia lakini asinge rejea tena kwa sms wala salam......
 
mie siwezi hama au kubadilisha number ya simu,unamwambia na unakuwa mkali,

Nafikiri hujawahi kukutana na mtu anayekusumbua kwenye simu. nakwambia UTABADILISHA. Kuna watu ustaarabu sifuri. jobless people...
 
KingKipara huyo mwanamke obviously anataka kuharibu uhusiano wako....makusudi kabisa....

hamna sababu kwanini mwanamke wako asikuelewe. muonyeshe mwanmke wako kuwa we ni mwaminifu. awe na uhuru na simu yako. inabidi aelewe kuwa umejitahidi kumuepuka huyo mama. badili number. ikiwezekana badilisha makazi kabisa. kuna watu ni ving'ang'anizi wewe!!! lakini sikujua hadi wanawake!!!!!


baada yaa kumweleza ukweli demu wako kama atakubali nenda sehemu na mpenzi wako mkiwa chumbani unamwita aje kuwaona live na demu wako.Baada ya hapo demu wako ndo awe mkali kumkimbiza hatarudi ng'oo
KAMA UNA UJASIRI LAKINI (ww na demu wako mfanye mapenzi mbele yake)
 
alikuwa mpenzi wangu miaka miwili iliyopita, akanitosa nikaendelea na maisha yangu Mungu si adhumani Jamaa kamvuruga akamzalisha mtoto mmoja akampiga chini,

karudi kwao kanikuta mi nipo tu sijaoa japo ninamrembo Wang tu bado tuna malengo!

tatizo anasumbua kuniomba msamaha kila siku ananisumbua kupiga simu sms kila saa nikambrock kabadili laini tena , keshaongea na demu Wangu Mara nyingi lakini wapi

huwa simjibu lakini sms zinaingia tu sio usiku sio mchana

tumeanza kugombana na dem Wangu kwa sababu ya Huyu Dada na mimi simtaki maana alinitosa vibaya kisa mi sina gari akaenda kwa mwenyewe nazo.
sasa nitumie njia gani
ananipasua kichwa jamani demu wangu kanuna tangu juzi sababu yake
eti adhumani ndo nani vile, na kubrock ndo kufanyaje tena, hivi demu maana yake nini mkuu? eti mrembo mna malengo lakini bado unamwita demu mmhh!!!!!!!!!!!! mchane black n white uyo mama nani alokuwa akifuata magari ataacha kukusumbua si alikuacha mwenyewe saivi kakumbuka nini tena
 
Mkuu kubadili namba shauri ya mtu mmoja sio ishu.......huyo mbona rahisi sana kudeal nae.......kutaneni macho kwa uso tena ukiwa na huyo dem wako umwambie ukweli..........watu wanaong'ang'ania mapenzi wanashangaza sana.......

dada Preta you are lucky kama unafwatwaga na wanaume wastaarabu tu. tuulize sisi tunaofwatwaga na #*&@?%&#.
yani kama mtu una kazi inayohitaji mawasiliano na simu yako binafsi muda wowote, inabidi uwe na number ya ofisini tu!

BTW, mtoa mada kasema mwanamke wake ameshaongea na huyo mama mara nyingi hasikii....hana aibu doh!!!! kweli wanashangaza!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom