Jamani nimfanyeje huyu dada

Jamani nimfanyeje huyu dada

baada yaa kumweleza ukweli demu wako kama atakubali nenda sehemu na mpenzi wako mkiwa chumbani unamwita aje kuwaona live na demu wako.Baada ya hapo demu wako ndo awe mkali kumkimbiza hatarudi ng'oo
KAMA UNA UJASIRI LAKINI (ww na demu wako mfanye mapenzi mbele yake)

duh hii kali kuliko, mtoa mada fanya fasta! !!!
 
sijui alitaka watu wajue na yeye kuna mwanamke anamganda au vipi maana ni jambo dogo sana kulisolve

yeah ni jambo easy mno kuliatatua. hapo kwenye red, hahahaa hizo swagga mbona ni very 'old-fashioned'. Anyway, labda kweli yuko puzzled na hii issue, may be hana 'experience'... refer to my signature captioned apo chini. lol
 
Sasa shida yake ni nini kama ni msaada mpe wala isiwe shida coz kuishi na mtu mwenye mtoto tena alikuacha itakuumiza sana kila ukiwa nae na huyo fiance wako mueleze vzr mana nashkuru wadada ni waelewa

NB: usije ukamuumiza huyo dada aliyekupoza majeraha ya kuachwa
 
Mwambie tu ukweli, maji yakishamwagika hayazoleki.

Wewe upo na mtu wako mwingine na hautokuwa tayari kurudiana nae sababu haitowezekana kurudiana.

Na mchane tu asikuletee gozi gozi
 
Hii nadhani si mbaya...Hata mimi watu wote wanajua kuwa nina UKIMWI na nijlitangaza hivyo baada ya mwanamke kutaka kuvuruga uchumba wangu( Kwa hiyo nilimuhusisha mchumba wangu..Nikapima na kufuta mahali pa NEGATIVI na kuandika POSITIVE na kubandika NOTICEBOARD ya kazini kwetu)....Baadae mimi na mchumba wangu tukaoana ndoa takatifu..Tuna watoto na maisha yanaendelea vizuri....Tunajisikia "safe" zaidi kuliko hata hapo awali..Maana watu wengi wadhani ndivyo sivyo, hivyo usumbufu ni ZERO.. Kwangu na kwa mke wangu pia... Yaani ni raha tu!
Hahahaaa.. Ngoja aje akutangaze mtaa mzima ujue ulijiunga kwenye grid ya taifa...utachokaa..
 
alikuwa mpenzi wangu miaka miwili iliyopita, akanitosa nikaendelea na maisha yangu Mungu si adhumani Jamaa kamvuruga akamzalisha mtoto mmoja akampiga chini,

karudi kwao kanikuta mi nipo tu sijaoa japo ninamrembo Wang tu bado tuna malengo!

tatizo anasumbua kuniomba msamaha kila siku ananisumbua kupiga simu sms kila saa nikambrock kabadili laini tena , keshaongea na demu Wangu Mara nyingi lakini wapi

huwa simjibu lakini sms zinaingia tu sio usiku sio mchana

tumeanza kugombana na dem Wangu kwa sababu ya Huyu Dada na mimi simtaki maana alinitosa vibaya kisa mi sina gari akaenda kwa mwenyewe nazo.
sasa nitumie njia gani
ananipasua kichwa jamani demu wangu kanuna tangu juzi sababu yake

Kusanya ushaidi wote wa sms, kisha mwalike aje nyumbani kupata lunch na girl friend wako akiwapo, then baada ya lunch mpasulie makavu mbele ya mkeo mtarajiwa, na umpige marufuku kukupigia au kukutext.
 
Ningekushauri chakufanya kama usingetumia neno demu kwa mtu ambaye upo nae hv sasa hujanyesha heshima kwa hlo alafu mtu ambaye huna mpango nae unaweka heshima kwake na kumwita dada,hii inaletapicha kuwa unamuogopa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom