Habari zenu wanajamii forums. Naomba ushauri kwenye hili. Nimekuwa kwenye ndowa miaka kumi na moja. Mimi nilichelewa kuowa sasa nina Miika 45 . Huyu mke wangu kusema kweli hakuwahi kunivitia kisura wala kimaumbile,. Ila kipindi naamuwa kuowa nilimuona ni mtu mpole asiye penda makuu.
Na kwavile hali yangu ya kiuchumi haikuwa nzuri sana ila nilikuwa na uwezo wa kawada wa kubadilisha mboga. Kwa hiyo kwa wakati ule nikafikiri kuwa huyu kwa vile anatoka kwenye familia ya masikini, na ni mpele basi huwenda hata maisha yakinipiga zaidi hata nisumbuwa, tutaishi katika hali yoyote.
Basi nikajiambia kuwa pamoja na kwamba hana mvuto wa sura ila tabia ya upole na ukimya vitafidia . yote.
Sasa baada ya kukaa naye kwa mda mrefu nimekuja kungunduwa vitu vilivyo nifanya ni ignore red flags na vigezo vingine navyo vilikuwa kuingiza. Mpaka leo bado anaigiza kuwa mpole. Shida ikifika wakati wa kujadili mambo serious huwa hawezi kuchagia mawazo yake anabaki tu kucheza upole na ukimya . Ila topic nyepesi kama ombea anakuwa mchagamfu sana na anachagia vizuri kabisa. Suala lingine.Intaendelea.
Na kwavile hali yangu ya kiuchumi haikuwa nzuri sana ila nilikuwa na uwezo wa kawada wa kubadilisha mboga. Kwa hiyo kwa wakati ule nikafikiri kuwa huyu kwa vile anatoka kwenye familia ya masikini, na ni mpele basi huwenda hata maisha yakinipiga zaidi hata nisumbuwa, tutaishi katika hali yoyote.
Basi nikajiambia kuwa pamoja na kwamba hana mvuto wa sura ila tabia ya upole na ukimya vitafidia . yote.
Sasa baada ya kukaa naye kwa mda mrefu nimekuja kungunduwa vitu vilivyo nifanya ni ignore red flags na vigezo vingine navyo vilikuwa kuingiza. Mpaka leo bado anaigiza kuwa mpole. Shida ikifika wakati wa kujadili mambo serious huwa hawezi kuchagia mawazo yake anabaki tu kucheza upole na ukimya . Ila topic nyepesi kama ombea anakuwa mchagamfu sana na anachagia vizuri kabisa. Suala lingine.Intaendelea.