Jamani nijuzeni sifa za simu iphone

iphone ni simu ambayo inafanya kazi kwa kutumia operating system ya IOS ambayo ndo software kama android kwenye sumsungs and htc. Lakini tofauti kati ya iphone na simu nyingine za smartphone ni kwamba IOS software is made by apple na iphone yenyewe inatengenezwa na apple ambayo inaifanya iwe na ufanisi na uaminifu zaidi ya simu nyingine zote zinazoitwa smartphone. Ndo maana sumsung akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima kilinganishwa na iphone na nokia na yeye akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima akilinganishe na iphone manake hakuna simu nyingine ambayo kampuni imekaa ikaitengeneza wenyewe software na simu zifanye kazi pamoja.

Sumsung and the rest silo wabunifu walishashindwa kazi zamani sikuizi wanatengeneza tuu simu na software wanacopy ya google ambayo ni free "ANDROID". Nokia nawao wameshindwa karibia wanazama wameamua kuchukua software kutoka kwa microsoooooft. Tatizo la simu ambazo zinatumia operating system ya android na windows huwaga hazipo reliable zinacrush mara nyingi zaidi ya iphone na zinaitaji hadi utoe batriee ndo iwake kama s3 ya besti yangu mpaka anajilaumu kwanini alinunua. Tatizo la hawa jamaa wanaotumia software ya bure kutoka google ni kwamba hii software inatolewa standadized ili visimu vyote kuanzia vya $30 mpaka $1000 viweze kuitumia. Hapa inakuwa imedailutiwa sanaaa ndo maana smartphone hizi zinakuwa siyo za kuaminika sana masaa yote kama iphone
Screen Shot 2012-10-24 at 7.35.27 alasiri.png
HApo chini ni sumsung kabla ya iphone na baada ya iphone ujuwe watengeneza simu walikuwa wamelala
Screen Shot 2012-08-25 at 9.02.06 asubuhi.png
 
iphone ni simu ambayo inafanya
kazi kwa kutumia operating system ya IOS ambayo ndo software kama
android kwenye sumsungs and htc. Lakini tofauti kati ya iphone na simu
nyingine za smartphone ni kwamba IOS software is made by apple na iphone
yenyewe inatengenezwa na apple ambayo inaifanya iwe na ufanisi na
uaminifu zaidi ya simu nyingine zote zinazoitwa smartphone. Ndo maana
sumsung akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima kilinganishwa na iphone
na nokia na yeye akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima akilinganishe na
iphone manake hakuna simu nyingine ambayo kampuni imekaa ikaitengeneza
wenyewe software na simu zifanye kazi pamoja.

Sumsung and the rest silo wabunifu walishashindwa kazi zamani sikuizi
wanatengeneza tuu simu na software wanacopy ya google ambayo ni free
"ANDROID". Nokia nawao wameshindwa karibia wanazama wameamua kuchukua
software kutoka kwa microsoooooft. Tatizo la simu ambazo zinatumia
operating system ya android na windows huwaga hazipo reliable zinacrush
mara nyingi zaidi ya iphone na zinaitaji hadi utoe batriee ndo iwake
kama s3 ya besti yangu mpaka anajilaumu kwanini alinunua. Tatizo la hawa
jamaa wanaotumia software ya bure kutoka google ni kwamba hii software
inatolewa standadized ili visimu vyote kuanzia vya $30 mpaka $1000
viweze kuitumia. Hapa inakuwa imedailutiwa sanaaa ndo maana smartphone
hizi zinakuwa siyo za kuaminika sana masaa yote kama iphone
View attachment 69205
HApo chini ni sumsung kabla ya iphone na baada ya iphone ujuwe
watengeneza simu walikuwa wamelala
View attachment 69204

nashukuru sana mkubwa nimeelewa vizuri sana
 
Weakness kubwa ya iphone hasa katika mazingira ya bongo ni kuwa programme zake nyingi nzuri ni za kununua. Ila bado ni simu stable sana sokoni na pia katika matumizi.
 
iphone ni simu ambayo inafanya kazi kwa kutumia operating system ya IOS ambayo ndo software kama android kwenye sumsungs and htc. Lakini tofauti kati ya iphone na simu nyingine za smartphone ni kwamba IOS software is made by apple na iphone yenyewe inatengenezwa na apple ambayo inaifanya iwe na ufanisi na uaminifu zaidi ya simu nyingine zote zinazoitwa smartphone. Ndo maana sumsung akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima kilinganishwa na iphone na nokia na yeye akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima akilinganishe na iphone manake hakuna simu nyingine ambayo kampuni imekaa ikaitengeneza wenyewe software na simu zifanye kazi pamoja.

Sumsung and the rest silo wabunifu walishashindwa kazi zamani sikuizi wanatengeneza tuu simu na software wanacopy ya google ambayo ni free "ANDROID". Nokia nawao wameshindwa karibia wanazama wameamua kuchukua software kutoka kwa microsoooooft. Tatizo la simu ambazo zinatumia operating system ya android na windows huwaga hazipo reliable zinacrush mara nyingi zaidi ya iphone na zinaitaji hadi utoe batriee ndo iwake kama s3 ya besti yangu mpaka anajilaumu kwanini alinunua. Tatizo la hawa jamaa wanaotumia software ya bure kutoka google ni kwamba hii software inatolewa standadized ili visimu vyote kuanzia vya $30 mpaka $1000 viweze kuitumia. Hapa inakuwa imedailutiwa sanaaa ndo maana smartphone hizi zinakuwa siyo za kuaminika sana masaa yote kama iphone
View attachment 69205
HApo chini ni sumsung kabla ya iphone na baada ya iphone ujuwe watengeneza simu walikuwa wamelala
View attachment 69204

Somo umempa bila kusahau na chenga chenga nyingi ulizomwekea. Kama samsung kucopy android kutoka google na mengine mengi kama sijui kudilutiwa duuuh...
Na nyingine kuwa hakuna kampuni inayotengeneza OS na simu pia je RIM wanafanyaje?
 
Somo umempa bila kusahau na chenga chenga nyingi ulizomwekea. Kama samsung kucopy android kutoka google na mengine mengi kama sijui kudilutiwa duuuh...
Na nyingine kuwa hakuna kampuni inayotengeneza OS na simu pia je RIM wanafanyaje?

Ndo hapoo! Na hata hao apple scree na vfaaa vngne hawatengenez waoooo
 
Somo umempa bila kusahau na chenga chenga nyingi ulizomwekea. Kama samsung kucopy android kutoka google na mengine mengi kama sijui kudilutiwa duuuh...
Na nyingine kuwa hakuna kampuni inayotengeneza OS na simu pia je RIM wanafanyaje?
RIM they do for bb but they have been out of the game in the first world they do not consider them as getting anywere it has taken them like 3yrs to get their new software coming next year. Tusubirie tuone lakini basi lishawaacha labda waje na kitu kingine kidisrupt the current eco-systems za android,IOS na wp8
 
iphone ni simu ambayo inafanya kazi kwa kutumia operating system ya IOS ambayo ndo software kama android kwenye sumsungs and htc. Lakini tofauti kati ya iphone na simu nyingine za smartphone ni kwamba IOS software is made by apple na iphone yenyewe inatengenezwa na apple ambayo inaifanya iwe na ufanisi na uaminifu zaidi ya simu nyingine zote zinazoitwa smartphone. Ndo maana sumsung akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima kilinganishwa na iphone na nokia na yeye akitoa kitu chake cha bei mbaya lazima akilinganishe na iphone manake hakuna simu nyingine ambayo kampuni imekaa ikaitengeneza wenyewe software na simu zifanye kazi pamoja.

Sumsung and the rest silo wabunifu walishashindwa kazi zamani sikuizi wanatengeneza tuu simu na software wanacopy ya google ambayo ni free "ANDROID". Nokia nawao wameshindwa karibia wanazama wameamua kuchukua software kutoka kwa microsoooooft. Tatizo la simu ambazo zinatumia operating system ya android na windows huwaga hazipo reliable zinacrush mara nyingi zaidi ya iphone na zinaitaji hadi utoe batriee ndo iwake kama s3 ya besti yangu mpaka anajilaumu kwanini alinunua. Tatizo la hawa jamaa wanaotumia software ya bure kutoka google ni kwamba hii software inatolewa standadized ili visimu vyote kuanzia vya $30 mpaka $1000 viweze kuitumia. Hapa inakuwa imedailutiwa sanaaa ndo maana smartphone hizi zinakuwa siyo za kuaminika sana masaa yote kama iphone
View attachment 69205
HApo chini ni sumsung kabla ya iphone na baada ya iphone ujuwe watengeneza simu walikuwa wamelala
View attachment 69204

fanboy.................
 
Benard taboraiphone ni simu ya kitozi. inawafaa masharo na mtu yeyote anayeona anataka ajulikane ana hela ya kutosha.
 
Last edited by a moderator:
RIM they do for bb but they have been out of the game in the first world they do not consider them as getting anywere it has taken them like 3yrs to get their new software coming next year. Tusubirie tuone lakini basi lishawaacha labda waje na kitu kingine kidisrupt the current eco-systems za android,IOS na wp8

I wasnt talking abt RIM being out of the game or anything of the kind as long as they're still in the industry and they make both hardware and softwares for their phones, that means something.
Ofcourse RIM has lost many shares and has made big losses BB OS 10 is there final nail and if it wont make it I guess they will be totaly out of the game.
Na plan yao ni kutoa licence iwe used by other companies kama android ilivyo. Wana aim itumike kwa samsung na other phone manufacturers. Pia wana aim itumike kwenye magari kwakuwa sasa hivi madevelopers wa apps wameanza itosa kutengeneza apps za BBerry.
All in all apple iphone kachange direction ya phone industry kabisa na nadhani wengine wanaamini hakuna smart phone zaidi ya iphone hata kwenye matangazo yanayohusiana na sime iwe web browsing via simu, apps ili mradi inahusisha simu utakuta kuna picha ya iphone.
Kwa upande wangu I am a nokia fan.
 
I wasnt talking abt RIM being out of the game or anything of the kind as long as they're still in the industry and they make both hardware and softwares for their phones, that means something.
Ofcourse RIM has lost many shares and has made big losses BB OS 10 is there final nail and if it wont make it I guess they will be totaly out of the game.
Na plan yao ni kutoa licence iwe used by other companies kama android ilivyo. Wana aim itumike kwa samsung na other phone manufacturers. Pia wana aim itumike kwenye magari kwakuwa sasa hivi madevelopers wa apps wameanza itosa kutengeneza apps za BBerry.
All in all apple iphone kachange direction ya phone industry kabisa na nadhani wengine wanaamini hakuna smart phone zaidi ya iphone hata kwenye matangazo yanayohusiana na sime iwe web browsing via simu, apps ili mradi inahusisha simu utakuta kuna picha ya iphone.
Kwa upande wangu I am a nokia fan.
Nimekupata hapo
 
Nokia N8 unaweza kuilinganisha na iphone gani au sumsung ipi (I mean model)
 
Benard taboraiphone ni simu ya kitozi. inawafaa masharo na mtu yeyote anayeona anataka ajulikane ana hela ya kutosha.
masharo na matozi wanatumia bb hawajajua bado kuna kitu iphone nazani wewe unachuki binafsi tuu uwezo mdogo kununua apple product but are the best in the business
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom