Jamani ni dada yupi kati ya hawa wawili ananifaa?

Jamani ni dada yupi kati ya hawa wawili ananifaa?

Ba Liz

Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
58
Reaction score
8
Mchumba wangu wa kwanza ananpenda sana ila nyumban walimkataa kisa hajasoma..mwingine amesoma ananpenda ila hamzidi wa 1
 
Kama elimu ndio ndoa au ndio inashikilia mapenzi ya ndoa mchukue huyo aliyesoma na anayekubaliwa na wazazi wako maana kwa akili yako funyu na ya wazazi wako unaoa kwaajili yao na sii kwa ajili ya maisha yako wewe na mkeo na wanao.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
sidhani kama maelezo yanatosha sisi kukuchagulia. fata yule ambaye unampenda na unaweza kuishi nae
 
M mtu akisema anapendwa sana napata shda kuelewa ....iyo kitu ck iz adim sana...tena kwa kumsemea mtu???...
 
Back
Top Bottom