Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Wana JF hamjambo?,mi ninatarajia kumaliza bachelor degree of Accountancy mwezi wa 7 na bahati nzuri nimepata sponsor kwa ajili ya MASTERS hvyo nlikuwa naomba kujua ni chuo kipi kizuri kwa ajili ya Masters of business administration-FINANCE,kiwe popote afrika masharika na pia kama inawezekana nijulishwe na gharama zake... Asante sana na ninatarajia mengi kutoka kwenu!.