Jamani Natafuta Kazi

Jamani Natafuta Kazi

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
Nimemaliza Bachelor of Tourism Management 2012, hadi leo sina pa kujisihkiza. Nimeomba kazi sehemu nyingi bila mafanikio na sehemu zingine nimeombwa rushwa ya ngono sikuwa tayari kwa hiyo nilikosa kazi.
 
Mkishauriwa msome ualimu,mnadharau..haya sasa,hayo matourism utaenda nayo wapi?
 
nenda udsm pala kasome postgraduate diploma ya ualim one year upate ajira haraka. ni ushaur tu
 
PERRY hujui ukisemacho na kama huwezi kumshauri mtu nyamaza kuliko kuropoka......kila mtu anasomea kitu anachokipenda na kila mtu ana mda wake wa kufanikiwa....tumeona mifano mingi ya watu mnaozarau degree zao badae wanakuja kupata sehem nzuri na kuwaziba midomo so kama ww ni mwl. Usipende ku judge kua fulani kasoma hiki ndio mana hapati ajira
 
Nimemaliza Bachelor of Tourism Management 2012, hadi leo sina pa kujisihkiza. Nimeomba kazi sehemu nyingi bila mafanikio na sehemu zingine nimeombwa rushwa ya ngono sikuwa tayari kwa hiyo nilikosa kazi.
pole ...
unaishi wapi..?

na umeomba kazi mara ngapi..? na umeitwa interview mara ngapi..?

samahani naomba jibu hayo maswali niongeze kitu..
 
Nimemaliza Bachelor of Tourism Management 2012, hadi leo sina pa kujisihkiza. Nimeomba kazi sehemu nyingi bila mafanikio na sehemu zingine nimeombwa rushwa ya ngono sikuwa tayari kwa hiyo nilikosa kazi.
BTM ya Chuo gan bibiye!?
 
UKO WAPI?mahali ulipo n tatzo.km upo arusha sidhan km ungesumbuka.jaribu makampun ya tour arusha yanawahitaj watu km ny
 
Maoni yanayotolewa humu ni ya watu binafsi na mitazamo Yao ya Maisha so we songa mbele,Nzuri chukua mbaya waachie,Muombe Mungu utafanikiwa Wala usihofu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nenda hapo Dar kuna chuo kinaitwa National Inst of Tourism kiko chini ya MNRT, address na details zingine sina, kaombe hata tempo ufundishe
 
naishi dar,nmeitwa kama mara 5 hvi....
ok pole sana usikate tamaa najua tatizo la ajira limekuwa gumu sana ..kitu ambacho naweza shauri unaweza kuendelea kujaribu
jaribu kuomba kazi kwa wigo mpana unaweza jaribu kazi kama office assistant etc ,pia volunteer kwenye NGO za uhifadhi mazingira
pia usiache kutembelea tovuti mbalimbali za mashirika ya utalii..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom