peace lady Tz
Member
- Sep 4, 2018
- 19
- 6
Jamani ushaurii wenu mm nimechaguliwa vyuo viwili tofauti na coz tofauti, nmechaguliwa chuo cha utumishi Wa umma coz ya records management pia nmechaguliwa Nit coz ya logistics and transportation. Naombeni ushaurii wenu nichague coz gani ya kwenda kusoma kati ya hizo na ni coz IPI ambayo angalau soko lake la ajira ni zuri kwa sasa