Ukipenda Sana na kuonesha kujali unageuka kama mjinga flani afu msichana anaweka demand ngum Sana ambazo zinaondoa hata utu wa mtu yamenikuta nikaona nipishe kwanza ukikosea unaomba samahani akikosea anakwambia usimind vitu vidogo siku ukipotezea utasikia unajua ulichofanya sijapenda na hata hujui kuomba samahani! Bora kuwa peke yako kwa Mda flani mpaka wakati utakapofika #mapenzi ni two way traffic Kama unataka kupendwa nawe penda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.