siemens c25
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 217
- 44
mimi ni kijana nileyeoa mwaka mmoja uliopita mkewangu sasa anaujauzito wa miezi7 tofauti na zamani sikuizi kila nikimuomba unyumba anadai nyonga zinauma hivi wanawake wajawazito huwa wanakuwa hivyo? Nifanyaje mana sitaki kuisaliti ndoa yangu