Jamani naomba ushauri kuusu mapenzi..

Jamani naomba ushauri kuusu mapenzi..

Jamani naomba ushauri kuusu mapenz, kuna msichana nampenda sana na nimeshamweleza lakini anashindwa kunielewa mpk sasa umetimia mwaka mzima bado mambo ni yale yale, na alishawai kukubali tuwe wapenzi ila haikupita hata wiki akabadili mawazo sababu alaikua anadai ana mwanaume anaempenda. Nilimwelewa ila sasa ameshaachana na uyo mwanaume tena kwa ugomvi kwa sabab uyo mwanaume ana madem wengine wengi. Kwa kuona ivo niliamua kumfata ila kazingua tena kwa sababu zisizo na msingi na wakati hua anazingua kukubali tulikua seem nyeti na niliweza kumkiss na kufanya nae mambo mengi ya kimapenzi tena kwa iyari ila baada ya apo bado ananambia hatuwezi kua wapenzi. Nisaidieni ushauri nifanye nini jamani
tafuta anekupenda huyo hakupendi kabisaaaaaaaaaaaaaaa utaishia kujinyonga tu,wewe umekosa mademu wamejaa
bongo hii kaka,au umelogwa?
 
Kwa mujibu wa profile yako una miaka 16 n kweli??????
 
Hakupendi ila ukilazimisha utajiumiza mwenyewe kihisia, anakuchukulia kama spare au mfariji mara tu jamaa yake anapomuacha, nenda zako katafute akupendaye uoe maana huyo hakufai kuoa, atakua anakuacha na kumrudia huyo jamaa yake, wakikosana anarudi kwako kufarijiwa, akipona anaenda tena. SHITUKA
 
Soma kwanza upate pesa Mwanaume halilii kupendwa ukizikamata watakufata wenyewe
 
Watoto someniii, Mapenzi yapo tu.

Hivi nanani aliyewaambia kuwa Kuna mtandao unaoitwa Jamiiforums?
 
Jamani naomba ushauri kuusu mapenz, kuna msichana nampenda sana na nimeshamweleza lakini anashindwa kunielewa mpk sasa umetimia mwaka mzima bado mambo ni yale yale, na alishawai kukubali tuwe wapenzi ila haikupita hata wiki akabadili mawazo sababu alaikua anadai ana mwanaume anaempenda. Nilimwelewa ila sasa ameshaachana na uyo mwanaume tena kwa ugomvi kwa sabab uyo mwanaume ana madem wengine wengi. Kwa kuona ivo niliamua kumfata ila kazingua tena kwa sababu zisizo na msingi na wakati hua anazingua kukubali tulikua seem nyeti na niliweza kumkiss na kufanya nae mambo mengi ya kimapenzi tena kwa iyari ila baada ya apo bado ananambia hatuwezi kua wapenzi. Nisaidieni ushauri nifanye nini jamani
Achana na Mapenzi, deal na Maisha
 
Up your game lil bro.

Manake alishaingia kwenye anga zako kuna kitu ulimkera.

Either ulimjaza mimate ukampaka paka

Ama ulimrukia kama kuku

Ama alibaki macho juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom