Yaani Konnie wewe huwa unauliza maswali ya msingi sana.mtoa maba una miaka mingapi?
hilo ndo tatizo unapopima kina cha maji hatuaanzii kichwa ila tunatumia mti sawa mkubwa?ctrl+alt+d then start.
Tambua Kuwa were pia aw
gharama na Kama unataka kumpata nenda nae taratibu bila woga wala
papara,ukimwonyesha Kuwa nae ni wa kawaida tu,akitambua Huna ujasiri na
Huna ujanja umekwisha hata ukimpata utakuwA mtumwa aw mapenzi ni bora
Kuwa na msimamo before
Ndio hapo mie mwenyewe nimeshangaa!