khaleedi said
Member
- Jul 17, 2012
- 9
- 0
Naombeni msaada wa kuunganisha simu yangu na computer, sim yangu ni nokia 6300.nataka kutumia kwa ajiri ya kutumia internate, yaani naingiza bando katika simu na kuweza kuunga nisha kwenye computer, kwahiyo nitafanyaje?