Jamani naomba mnielewe tuu Kasinde mie loooh!!!

Jamani naomba mnielewe tuu Kasinde mie loooh!!!

hahaa...wake up my friend, we utakuwa long time no s.x,, find it
 
Habari zenu mabibi na mabwana,
Kilichonitokea mchana huu nusu saa ikiyopita hadi sasa roho inanidunda....!!!!!
Nilikuwa naenda duka moja la vitabu liko mtaa wa Samora sasa wakati natembea kwenye jengo.la Benjamin Mkapa si nimekutana na yule kaka wa Nissan Patrol Crash nikamtizama na tukatizamana uso kwa uso loohh!! Wajua nini kilitokea tumeishia kutizamana tuu tukapishana huku mie mapogo ya moyo yakiwa juu. The nissan patrol guy alikuwa amebeba begi la mgongoni ni mweusi mrefu na aliingia ofisi za NSSF.
Jamani this nissan guy ananichanganya, what happens betwwen us? Ni kuwa tunaoneana aibu au tunaogopana?
Naomba mnielewe tuu na hizi crash maana sielewi mwisho wake ni nini, yaani from crash ya kwenye foleni za gari hadi crash ya kutembea barabarani looh!! Again he was walking alone and I was walking alone...
Hapa roho inanipwita......

umeangalia kidoleni hana pete?
 
Hana pete yuko single....

kama unampenda kweli jaribu kumzowea mjuane, huenda ndiyo nafasi yako ya pekee usiache akatumbukia kwa mwingine. Mzowee mfahamiane, kama anakufaa mnaendelea, shirikisha akili yako usiache moyo uchukue nafasi ya akili!
 
Watu wengine wanachukua muda sana kukua kama miti
 
kama unampenda kweli jaribu kumzowea mjuane, huenda ndiyo nafasi yako ya pekee usiache akatumbukia kwa mwingine. Mzowee mfahamiane, kama anakufaa mnaendelea, shirikisha akili yako usiache moyo uchukue nafasi ya akili!

Thumbs up mkuu,, ila kuna wengine wagum kweli kuzoea.. barriers kibao
 
Kasinde, when was the last time to be laid? i think you need it big time...
..kama fursa adhim hazipatikani, nakushauri hata boda boda mpe tu, then you will think straight.. this is getting worse..
 
Last edited by a moderator:
Hebu chukua hili jukumu basi...

Nitakuazima Nissan Patrol yangu uitumie kama chambo, halafu na begi la mgongoni pia

..aah wapi!! Kasinde anaonekana kuwa na ugwadu wa kufa mtu. Hii ofa naikimbia..
 
Last edited by a moderator:
..aah wapi!! Kasinde anaonekana kuwa na ugwadu wa kufa mtu. Hii ofa naikimbia..

Mkuu kuna zana za kudeal na hawa watu, piga dona lako vizuri halafu zama pharmacy kuchukua ile kitu inayoweka mtalimbo juu juu.
 
Back
Top Bottom