Jamani naomba mnielewe tuu Kasinde mie loooh!!!

Jamani naomba mnielewe tuu Kasinde mie loooh!!!

Hamna bwana, hoja kama hizi hatukutegemea kuletwa na mkomavu wa JF kama Kasinde! Nahisi ni binti ambaye anakaribia kuugua ugonjwa wa kucheka cheka sasa na kukimbilia kila mtu aliyevaa suruali kwa sababu za genye! Dr. watu8 njoo huku usaidie Kasinde anaumwa kwani anakoelekea si kuzuri!! Na ole wako Kasinde unaweza kukuta hata huyo jamaa yako ni TEAMbazazi!

sio mkomavu sana bana, kajiunga mwaka jana mwishoni, ana miezi michache tu. bado anahitaji mwongozo wenu. dr watu8 akishindwa kazi tumkabidhi kwa babu Asprin kwa ukaguzi maalumu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kasinde anahitaji mtu wa kumpunguza hayo makrashi, kama kusoma hamjui hata picha hamuoni!!!! ndio unakabwa mpaka hatukuoni jf!! vibaya hivo.

Ha ha haaaaaaa!! Sasa wa kumpunguza si ndo huyo wa nissan? Ye hataki mwingine ni Nissan tu!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahha mi ananipa raha Tyta tu....
Mtoa mada punguza kimuhemuhe...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom