Mke wangu amepata tatizo la kataract ya jicho ghafla kama mwezi mmoja hivi uliopita.age yake ni miaka 30,kihistoria kwao hakuna mwenye hilo tatizo.tulienda ccbrt wakatupatia dawa ili tujiandae kwa operation, tatizo limekuja kuna dada mmoja hapa morogoro alikuwa na the same problem alienda ccbrt kwenye operation last week baada ya operation alipoenda kufunguliwa jichi lilikuwa limeoza lote na wakalitoa kabisa
naomba mtusaidie taarifa au dawa to avoid operation
naomba mtusaidie taarifa au dawa to avoid operation