Jamani nani kaniroga?

Tatizo lako una'pretend' kaka watu wanakuona una pesa nyingi tofauti na kipato chako. Ishi maisha ya kawaida usijionyeshe kabisa kama una pesa hata kama unazo,na siku moja moja wakope na wao,utaona kama watakufatafuata
 
mshukuru Mungu kwa kila jambo
 
Usikionee huruma kiumbbe uschokizaa......... Siku ukifa masikin watakuwa wa kwanza kusema ulikuwa unapenda starehe ndio maana huna maendeleo kaz kwako
 
pole, fadhile mpe mbuzi utakula mchuzi kuliko binadam atakuudhi.
 
Mkuu nahisi una blood group 0+ (born to help) hujarogwa hayo ndo maisha yako na hutabadilika jaribu tu kukubaliana na hali hiyo
 
Polee

Tatizo ni wewe mwenyewe umewazoesha... huna budjet?
 
Kitabu kinasema usisumbukie ya dunia kwa maana yanapita tu!!!!!!!!!!!!!!!!1. Endelea na moyo huohuo ndugu yangu maana akiba yako mbinguni inaongezeka. Tukifika mbingu we unaweza jikuta ndio tajiri kuliko wooote. Ameeeni
 
Hujarogwa ndo maana unatambua hilo cha msingi ni kuchua maamuzi magumu kwa kupunguza misaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…