Jamani najihami sio mimi msinihukumu

Mpango mzima QT tu. mie na mzee mwenzangu mwenyekigoda wa enzi wa mnyama wa msimbazi tunasongesha mdogomdogo japo mwaka huu Ndalichako katufanyia fitna kwa kutuweka kwenye wale laki mbili na ushenzi, hatujakata tamaa
hahahaaa!endeleeni msikate tamaa
na uze
e wote huo!
 
ah ah! magogoni ni size yenu, mie kichwa upepo niliishia form 2 enzi izo unapita kwa wastani

sidanganyiki ni wewe
nilikua nakuona na ukafeli vibaya coz
chabo ilidunda!mazombie walikuepo kitambo ujue!

 
Kazi ni kwenu mliosoma Bongo...
 
Hahahaa!Pilau Utashambuliwa wewe, ingawa kuna ukweli pale No 2,4,10 na 11. ingawa siyo wote.Maana mimi nimesoma hapo kwenye 2.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…