Ilonga Msalabani
Senior Member
- Nov 23, 2012
- 111
- 36
- Thread starter
-
- #21
mkuu ajira za uhamiaji zimetoka!
changamkia shavu hilo kwanza halafu ndo uje na salary slip hapa ndo utawapata wengi tu!
watakuja wachumba, tena wenye kila aina ya sifa...!
shangaa lakini mimi sina kazi sina pesa... lakini.. qudadeki!!
mkuu una id ya ajabu kweli!
unmentionable!
weja pucha yako
Ungesema unatafuta wakukulea mana sikuhizi hawapokei wachumba mizigo.
nimeipenda hiyo 2, kwenye mabano. kwa hiyo suluhisho ni kumpata mwanamke mwenye gari, badala ya kuangaika nawe upate lako. ila vya bure ghalama kuwa makini.......
Yeah mkuu, hizo tunazo sisi wachache wenye hisa...
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo vifuatavyo,
1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)
Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.
Hahahahaaa, Mi nataka mke kwanza Bwana, kazi itakuja tu. Kama nimeweza kuishi kwa mission town muda wote huu, sitashindwa kulea mke. wadada, nasubiri applications. nimepokea kadhaa tayari. nafasi ni chache wahini jama...
Nikirudi kijijini
then, what? Does it help? kijijini ni kwa wasiosoma...acha mambo
yako...
Mimi sio mzigo
wewe, shika adabu yako. ninastrategy za hatari, lazima maisha yawe
supper. naomba usiwavunje moyo wanaohitaji kuwa nami....
Hahaaaaaaa. ....Shikamoo
unanipa shikamoo unataka kuninyima nini we mtoto mzuri!
Nilikuwa nakupa heshima yako tu, mzima wewe? Nimekumiss.
haya ahsante mtoto mzuri eenh! mengine sasa tusiongelee kwenye uzi wa watu! si unajua lakini?
shuka hapo chini kwenye kakitufe ka send pm, sawa mamii?