Jamani naenda kufumania

Jamani naenda kufumania

ikechukwu

Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
12
Reaction score
6
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.


Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.

Maoni na ushauri tafadhali
 
nenda utupe mrejesho,ila usifanye fujo wewe chukua nguo zao wote kisha ondoka,zipige picha ziweke hapa kama ushahidi kweli umefumania!!!
 
Nataka nipate uhakika tu. Koz huu sasa mwaka wa pili toka tumefunga ndoa...ni makelele mwanzo mwisho
 
Yes am sure. Koz tayari nimemchoka. Hatuna amani zaidi ya mwaka na nusu sasa. Ni makelele tu
 
Just let sleeping dogs lie. We tulia, usilolijua haliumizi kama live. Utashikwa na usongo wa moyo bure umwache akila raha na mpenzi mpya. Digirii hupatikana kwa njia nyingi. Hii pia ni mojawapo. Akimaliza salama atakuinua kiuchumi. Sema mama watoto yupo chooni tu hao waliokutumia pics ni makuwadi wako au? Una uhakika gani kama hao nao ni wezi tuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom