sawa broAcha kuamsha mambo yaliyo lala mkuu kama mara ya kwanza kila kitu kilikuwa sawa acha acha acha kuhangaika tena..... now huwez ku-update system ipo kwenye selection.
Bro tupo wote wala usihofu maana hata Mimi wameniandikia hivyo so cha msing tulia usiichokonoe maana system hii ni ya ajabu plzzz be patient and wait 4 selectionDah nadhan selection tusubir mpaka 2nd round iishe tu maana hyo tar 12 tushaisahau
Ni bora uwaone nacte Kama upo karibu mana mi nilikua Kama ww nanikaenda nacte nashukuru MUNGU walinilekebishia kumbe ilikua niwao wenyewe ndo wenye matatizo,
Jaman mimi ni diploma holder nime-aply kwenda degree ,,NACTE walishafanya tathmini ya vyeti vyangu na kuniambia "requred qulification found"
Lakin cha kushangaza leo nakuta wananiambia "update qulification " na inagoma ku update hii maana yake nin jaman????
Ni bora uwaone nacte Kama upo karibu mana mi nilikua Kama ww nanikaenda nacte nashukuru MUNGU walinilekebishia kumbe ilikua niwao wenyewe ndo wenye matatizo,
Hahahaaa mkuu inaonekane hauna shida wewSifanyi hiyo kazi asilan abadan
System haisumbuliwi bro labda wewe ndio unaesumbuka kwa kupost ugoro huo...nenden vyuo vyen vya kata,mnasumbua systm bn
Kama cheti chako hakijastate GPA huwa nacte wanaicalculate wenyewe so wala ucjali.Kwa wale wa diploma wakati wa ku upload qualifications kuna sehemu ya kuattach cheti pamoja na transcript , kama una cheti tu hauna transcript ukiattach na kuchagua programme mpaka mwisho wa application inaweza kuleta shida kwenye selection maana cheti hakija state GPA wala CLASS . msaada tafadhali kwa wenye uzoefu. Maana mwisho kabisa kwenye Admission status kwenye NTAL6 Qualification inarecommend kuwa WAITING FOR EVALUATION . Msaada tafadhali kwa wazoefu
Haina haja ya transcript ? Maana cheti tu ndo nimeupload sehemu zote mbiliKama cheti chako hakijastate GPA huwa nacte wanaicalculate wenyewe so wala ucjali.
Kikubwa jaribu na wewe gpa yako ili na nacte nao wakiikokotoa kusiwe na mpishano