Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Sala ya walevi walipokutwa baa, ' Baba yetu uliye Breweries, bia zako zikufikie, bei yake iwe rahisi hapa baa, kama huko kiwandani, utupe chupa zetu za pombe kila siku, utusamehe sisi walevi wote kama tunavyowasamehe na sisi mabaamedi wanaotudhulumu chenji zetu. Usitutie mitaroni. Bali utufikishe nyumbani salama. Kwa kuwa bia zote ni zako, na wine, konyagi, ulanzi, mnazi, mbege, na hata viroba ni mali yako, hakuna anayeweza kutuzuia kunywa hata milele. AMINA.