jamani mtapasuana makagare....!!

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,851
DSC01599+%25281%2529.JPG

mia
 
tunashindwa kutumia hizi asset vizuri!

Mkuu sisi ndio wa hivyohivyo tu na cjui kwanini tunaendelea kua hivyo ingawa kimsingi hatuna sababu za msingi za kutokufanya mabadiliko aisee dah! inji inarasilimali watu wenye vipaji lukuki, ardhi yenye rutuba, misitu madini mito maziwa vivutio vya kila aina bado eti tunajiita ni masikini ...kudadadeki hili ndio madhara ya kumpa urais mtu aliyetoka kwenye jumba la sanaa Bwagamoyoooo aisee...
 
Kwani hapo ni nini cha ajabu? Au mpaka muone wachina wanacheza sarakasi ndio muamini?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom