Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24, mwili wangu sijui una nini maana nihisi kama vitu vinatembea mwilini na pia naota ndoto za ajabu sana, na kiukweli mambo yangu hayaendi vizuri kila nilipangalo haliendi sawa.
Nimeshajaribu kwenda hospitali baada ya vipimo hakuku na lolote baya ila bado mwili haupo vizuri, kwasasa nina mpango wa kwenda tena hospitali nikacheki.
Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu, yapo mambo mengi ambayo nashindwa kufanya tokana na hali hii.
Nimeshajaribu kwenda hospitali baada ya vipimo hakuku na lolote baya ila bado mwili haupo vizuri, kwasasa nina mpango wa kwenda tena hospitali nikacheki.
Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu, yapo mambo mengi ambayo nashindwa kufanya tokana na hali hii.