hapo mjomba hujachaguliwa kuna rafik yangu jana nilimfungulia ikaja ivo..yeye hakupata division 3 wala GPA 1.6 form four that why akaachwa ndio leo ameapply upya kwa kuedit profile na kubadilisha machaguo
Wanavyokuambia next selection wana maana ya kuwa ufanye machaguo upya kwa kuelewa vigezo vya koz husika
dirisha limefunguliwa tarehe 5 jana mpaka tarehe 15 mwez huu
kafanye upya machaguo