Jamani Mke hanitoshelezi nifanyeje?

Jamani Mke hanitoshelezi nifanyeje?

Wewe mwenyewe haumtoshelezi. Ndo ubavu huo, mmepangiwa msitoshelezane. Diet kwa kwenda mbele.
 
Wewe mwenyewe haumtoshelezi. Ndo ubavu huo, mmepangiwa msitoshelezane. Diet kwa kwenda mbele.

hapa hapa kwenye maakili ndo huwa sina haja ya kufanya DNA kati yako na baba ako kipenzi Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
ahahahahahahhah easy mkuu!
hatufahamiani inaelekea! Majigo na Ciello will yu please kunisaidia katika hili sitaki kuchakachua thread!

Mwenzio Kiswahili Cha Kisasa Kimempalia..Mfano Enzi Zetu Neno "Mwanangu" Lilitumika Kama "Mtoto Wangu"!..Siku Hizi Linatumika Tofauti!
Sawa Na "HANITOSHELEZI"
Lol!
 
Last edited by a moderator:
Afadhali weye unanipa moyo kuwa muuza ubuyu sio babangu. Unajua ile issue maza na mshua wameipotezea hadi nna wasiwasi.navyomjua Mtambuzi alivyo na wivu! Kingetokea kimbunga kiitwe mrisho in honor of jk's dad
hapa hapa kwenye maakili ndo huwa sina haja ya kufanya DNA kati yako na baba ako kipenzi Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
Afadhali weye unanipa moyo kuwa muuza ubuyu sio babangu. Unajua ile issue maza na mshua wameipotezea hadi nna wasiwasi.navyomjua Mtambuzi alivyo na wivu! Kingetokea kimbunga kiitwe mrisho in honor of jk's dad

ahahahahhahhahahah itakuwa wameimaliza kimya kimya mama ngina si unamjua kwa kupanga mipwenti!itakuwa Mtambuzi kaamua bora YEEESHEE!
ahahaahhahhahah chezezya mama ngina weye !
 
Last edited by a moderator:
Dah, siku nikiambiwa muuza ubuyu ndo babangu wallah nahama nchi. Namuambia natalia aniunganishie kwa mashemeji zake nikachop some money za mtu. Heh?
ahahahahhahhahahah itakuwa wameimaliza kimya kimya mama ngina si unamjua kwa kupanga mipwenti!itakuwa Mtambuzi kaamua bora YEEESHEE!
ahahaahhahhahah chezezya mama ngina weye !
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhhhhhhhhh!!!!!!! fanya mazoezi, find a hobby ya kukukip busy na amabyo utaeenjoy kusuppliment game, Kunywa bier kidogo. Hivi vitakusaidi kuwa na vitu unavoenjoy apart frm game!!!!!!!!!! Usione watu wembamba ila kila siku wanakimbia Coco jioni, sasa unajiuliza wanapunguza ubonge gani??? Kumbe wanapunguza ashkiiiii tu za kuridhika na wake zao.
 
Kwani asichoeleweka nini hapa? Huyo mke hakwenda kupanga vyombo kabatini kwa mmewe!
 
Hakutoshelezi nini sasa mbona swali lako ni swali? Dah kuna kazi humu jf.
 
Kwani asichoeleweka nini hapa? Huyo mke hakwenda kupanga vyombo kabatini kwa wagaba!
 
uuuuwih!mke mwenza wa sirini toka lini na weye umekuwa mfuasi wa The Boss THE COMMUNIST himself!lol

Inaonekana deep down kila mtu anatamani threesome
hata out of curiosity tu lol

Watch out few years from now....itakuwa kama 'blow job' ilivyo now..lol kila mtu ni mtaalam na anaijua
wenyewe mnaita 'kupiga deki' sio? lol
 
Inaonekana deep down kila mtu anatamani threesome
hata out of curiosity tu lol

Watch out few years from now....itakuwa kama 'blow job' ilivyo now..lol kila mtu ni mtaalam na anaijua
wenyewe mnaita 'kupiga deki' sio? lol

ah wapi!wengine tuna wivu mpaka na boxer tu iwe ndo tuwe curious na sreesome!lol
 
Back
Top Bottom