Jamani Mke hanitoshelezi nifanyeje?

Jamani Mke hanitoshelezi nifanyeje?

sasa kama we mwenyewe hujui unatosheka na nini mtu mwingine atajuaje!
manake umekuja tu hapa na jamani mke hanitoshelezi
jamii nisaidieni!
funguka bwana !
akutoshelezi hakufuniki shuka?hakutoshelezi anaimba kwa sauti ndogo
hakutoshelezi anakupa ugali wa mtoto?
KWA STYLE HII ya post hata we mwenyewe hujui unatosheka na nini!
 
Mh Kamanda hakutoshelezi kivipi, hakupi, au anakupa lkn sio tamu, hajishughulishi hebu dadavua basi tukupe maujuzi ya kumtekenya
 
ujinga huo hakutoshelezi kivipi funguka usaidiwa
 
wewe ni dini gani? Kuna deen ya mutume inaruhusu kuoa tena .. For example ronaldinyo wa magogogni
 
Hahahah haya bana leo naona unatema sumu!
sasa kama we mwenyewe hujui unatosheka na nini mtu mwingine atajuaje!
manake umekuja tu hapa na jamani mke hanitoshelezi
jamii nisaidieni!
funguka bwana !
akutoshelezi hakufuniki shuka?hakutoshelezi anaimba kwa sauti ndogo
hakutoshelezi anakupa ugali wa mtoto?
KWA STYLE HII ya post hata we mwenyewe hujui unatosheka na nini!
 
Hahahah haya bana leo naona unatema sumu!

si unajua hizi mood huwa haziji kila siku!
ukinipata kwenye thread za kunipasua kichwa ndo nakuwaga hivi hivi!
ahahahahha umefurahi enh!?
 
sasa kama we mwenyewe hujui unatosheka na nini mtu mwingine atajuaje!
manake umekuja tu hapa na jamani mke hanitoshelezi
jamii nisaidieni!
funguka bwana !
akutoshelezi hakufuniki shuka?hakutoshelezi anaimba kwa sauti ndogo
hakutoshelezi anakupa ugali wa mtoto?
KWA STYLE HII ya post hata we mwenyewe hujui unatosheka na nini!

Hahahahahahah!
Hata Mimi Nashangaa...labda Mkewe Hajazi Msosi Jamaa Akashiba!!
JF Inavituko!!
 
sasa kama we mwenyewe hujui unatosheka na nini mtu mwingine atajuaje!
manake umekuja tu hapa na jamani mke hanitoshelezi
jamii nisaidieni!
funguka bwana !
akutoshelezi hakufuniki shuka?hakutoshelezi anaimba kwa sauti ndogo
hakutoshelezi anakupa ugali wa mtoto?
KWA STYLE HII ya post hata we mwenyewe hujui unatosheka na nini!

acha utoto na ww, unataka asemb kila kitu wazi ili iweje? Kama we ni mtoto huwezi kuelewa anamaanisha nn na swali hilo halikuhusu, pita tu
 
acha utoto na ww, unataka asemb kila kitu wazi ili iweje? Kama we ni mtoto huwezi kuelewa anamaanisha nn na swali hilo halikuhusu, pita tu

ahahahahahahhah easy mkuu!
hatufahamiani inaelekea! Majigo na Ciello will yu please kunisaidia katika hili sitaki kuchakachua thread!
 
Last edited by a moderator:
Mh Kamanda hakutoshelezi kivipi, hakupi, au anakupa lkn sio tamu, hajishughulishi hebu dadavua basi tukupe maujuzi ya kumtekenya

Ila Kama Jamaa Hafikishwi Na Mkewe Kwa Njia Ya Kawaida,Basi Kuna Njia Zake Anazozijua Yeye Ili Afike!
Hii Ajabu Kweli!!
 
ujinga huo hakutoshelezi kivipi funguka usaidiwa

yap !kufunguka ndio kwenyewe!kila tiba inategemea na uginjwa bana !kuna wakati klorowkwin ni dawa na kuna wakati ni sumu bana!tusije tukampa klorokwin wakati Asprin tu ingetosha!
 
Last edited by a moderator:
fanya 3some acopy ujuzi kwa mwenzie! itamshtua kidogo!
 
funguka upate misaada wagaba acha kuongea nusu na robo bana

huogopi kuitwa mtoto mama D ,kuna mtu aitwa Museven aona siye watoto kwa kuuliza ufafanuzi wa post!
ila enewei tumpotezee twende kikubwa zaidi si unajua ngoma ya kitoto haikseshi enh? wagaba funguka tukusaidie unless huitaji msaada wa wanajamii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom