Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Amen Amen, na mimi nyota yangu itawaka kama yako[emoji133] [emoji133] [emoji133]Yule ni "mwanaume" sio "wa kiume" bwana, the best husband in the world, i love my Manga ML more than the word itself.
Hahhahaha nilikuwa nakutakia tu usiku mwemaeenh eti umeniita Heaven Sent...
Hahhahaha nilikuwa nakutakia tu usiku mwema
Aah hata usishtuke, team popo eeehah kumbe... maana roho imestuka ghafla!!! leo tunakesha huku
Aah hata usishtuke, team popo eeeh
Aah out ya wapi tena jamani?imebidi tu maana nmeambiwa upo out sa hiz.. najaribu kukuzoom
Aah out ya wapi tena jamani?
Ha Ha Haa Tusio Na Wapenzi Tutakoma Mwaka Huu Ni Wa Malofa Ma Ma Ke
Beby Mimba Yangu Inataka Kuku Daily Na Lijuice La Azam La 3500
Ni mmoja kati ta watu wanaonivutia sana humu. Nitashukuru mkuu..
Wanadada punguzeni mizinga isiyo ya lazima.Mtu hamjaoana lakini hela anazoomba ni zaidi ya mke wa ndoa.Anakutajia shida lundo we kama babake.
Weaving 50,000,nguo yangu ipo kwa fundi 80,000,nimechoka simu ya batani nataka huawei y 360 180,000.Beby Weekend tunakichen part nitoe 20,000 ya zawadi.
Jamani haya ni mapenzi au biashara?
Ni mmoja kati ta watu wanaonivutia sana humu. Nitashukuru mkuu..
karibu dada angu. I will do it