Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,467
- 11,641
sema hukumpenda kihivyo, ungekuwa umedata katika mapenz tofauti ya 2yrs isingekuzuia kumuoa. Btw mwambie ukweli tu umuume lakini ajue kuliko kumwambia uongo ili afurahi kumbe anapoteza mda na mtu ambae hana malengo nae