Jamani mi nalala

Jamani mi nalala

Kausha mzee
Unaitwa 'babe' nawe unajibu 'babe'

Kesho utaitwa 'bae' nawe utajibu 'bae'

Keshokutwa 'my' nawe utajibu ' my'...

Alafu unatarajia siku moja nawe uwe Baba.!!!???
 
baadhi ya wachangiaji mnanishangaza mnaona mleta uzi ana mambo ya kitoto wakati ni vitu vya kawaida kwa wapendanao, mtasema nyinyi hamfanyi!
 
umefika xhuo umepata mtoto anakuxhuna boom
 
Back
Top Bottom