hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,138
- 72,851
Bila,shaka
Shule zimefungwa?
Shule zimefungwa?
Hio conversation utafuta vitu vyooote lakini hiyo huwezi..![]()
HahahaHio conversation utafuta vitu vyooote lakini hiyo huwezi..![]()
Akizingua ulete mrejesho pia
Unaitwa 'babe' nawe unajibu 'babe'
Kesho utaitwa 'bae' nawe utajibu 'bae'
Keshokutwa 'my' nawe utajibu ' my'...
Alafu unatarajia siku moja nawe uwe Baba.!!!???


baadhi ya wachangiaji mnanishangaza mnaona mleta uzi ana mambo ya kitoto wakati ni vitu vya kawaida kwa wapendanao, mtasema nyinyi hamfanyi!ha ha jamii forum watu wana akili nyingi sana😂😂😂😂😂😂😂
Wewe jamaa ni Mafia.
umefika xhuo umepata mtoto anakuxhuna boom
baadhi ya wachangiaji mnanishangaza mnaona mleta uzi ana mambo ya kitoto wakati ni vitu vya kawaida kwa wapendanao, mtasema nyinyi hamfanyi!
hahaahahaaa nanata na beatUmeandika nini dada?
mwenyewe kaelewa si ndiyo miandiko yaoNdio nini hii umeandika
Tayari vimerudi likizoShule zimefungwa?