Jamani matiti yananipa mshtuko wa moyo

Jamani matiti yananipa mshtuko wa moyo

Zina nini jamani mbona mwanifukuza ? Sasa napenda hali hiyo,inanipa tabu nimefika hadi kumuoda nasi,nae alikuwa mnhu kanizidisha maradhi ,unajua vikoti vyao ,mtu anakuwona waziwazi unachunguliayah ! Kanishauri nivae miwani nitapunguza joto la miguu !

sasa mwiba mbona utateseka sana! Maana njuavyo mimi hayo saa sita yana umri wake ya mkeo yakishachoka utafanyaje
 
Tobaah ,aloo ,hii naona ni 64GB ,ila haya yanakaribia basket ball ,na kweli kifo nakiona mbele yangu ,hapa basi moyo wangu nauona wakimbiah , yanakuwepo yale ya 32GB na yanakuwa na hatari zaidi anapokuwa mdada amevalia nguo za kawaida tu sio naked like thaaat ! ukute nguo imeachwa wazi kidogo tu ,basi huwa nakaribia kuaibika ,ndio maana daktari kanishauri nivae miwani myeusi !

Hio ni sita na nusu.
 
sasa mwiba mbona utateseka sana! Maana njuavyo mimi hayo saa sita yana umri wake ya mkeo yakishachoka utafanyaje

Ya mke nitayajengea frame just watchh and c only touching nitajiwekea not allowed ,labda kupapasa tu ,ata katoto tutakitafutia machupa , aafu duniani kuna viumbe wameumbika kwa hivi vitu,wanashindana mwakitokea wengi huwa nafanya kama nna makengeza hata macho yangu sijui yanakuwaje ,yanapoteza direction kabisa. Inakuwa kama unatazama jua lililoachiwa bada ya eclipse ,utafute miwani !

Wanajua kama wanatuumiza kwa Nido za aina hii na akikufuma unavyomkodelea ,yaani mtu ameweka kaoutanda wazi aafu anakuwa mkali ,sijui wakoje !
 
watakua under 18 hawa.. nenda huko juu kuna uzi mwingine anapenda Matege ya wadada.. nadhani mkuu Tyta hajauona huu uzi ili akonect dots

Anajitoa ufahamu tu utakuta ni babu na midevu yake
 
Last edited by a moderator:
Kwa asili yake mwanamke anapobalehe matiti yakiota huya yamesimama wima, na hali hii huendelea kwa muda, na baadaye huanza kuinama kutokana na sababu kuu tano: umri, mazoezi yanayosababisha matiti kutingishika mfano kukimbia, kuruka, kuongezeka uzito, na uvutaji sigara; ila kumbuka, kunyonyesha haskuangushi matiti. Ila unavyoyashabikia matiti dodo wewe kijana utakufa kabla ya muda wako, unahitaji ushauri nasaha na ikishindikana basi upate maombezi ya toba. Angalia hayo hapo uongeze dhambi zako mwenyewe!!!

View attachment 198484

Meikuta picha angu????!!!
 
kwangu matiti na wowowo si ishu
 
Kusema kweli sawabu au tunasema msema kweli mpenzi wa Mungu natumai kwa hapo tunakubaliana, mwenzenu mbali ya kutangaza na kutaka ushauri kwa kila ninaloliona lipo njia ya panda kwangu, nakuja JF 1

Sasa nimevumilia lakini naona kwa hili halivumiliki ,hivi kwa nini yale matiti yaliokaa au yaitwayo saa sita ,yamesimama yamechonga mbele yamejaa kiushindani ,sio yamejaa kama mpira wa miguu ,a'ah' yaani yapo utaona tu yamechomoza na hayakung'ang'ania kifua ,wadada walio na aina hii basi wajue wamebahatika kwangu.

Mimi huyaita mapapai mabichi.

Hivi haya yanaplay part katika kumpenda na wadada walio na dizaini hii wanaringa kupita maelezo ,hapa JF sijaona ,cjui ila kama mmpo tuwekeeni picha, ole wako wengine wanategemea sidiriya kutegeshah, mbona nilimkimbia siku moja, aloo ni flate tyre na bado kijana kabisa, sijui anayalalia, nilitoka baruti wala sijui nilisahau kitu gani, niliaga kiaina tu.

Hivi huwaga mnatumia mitishamba au ni kitu natural?

Unasema jf hawapo ina maana unatatajia kuyaona kwenye avatar zao, au?
 
Mkuu kwa kupenda hayo matiti ukiisha mshituko wa moyo...utakuja mshituko wa uchumi....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom