pole sana mimi nina rafiki yangu mpaka jana alikuwa aavuja damu tena mabonge mabonge na anatokwa na damu baada ya siku tatu inakata alafu inarudi tena wameangaika sana mpaka jana ndo wamepata ufumbuzi kumbe ni mume wake waliye achana ndiye amemloga na amepewa dawa na wataalamu saizi nimetoka zungumza naye imekata damu